Masika
JF-Expert Member
- Sep 18, 2009
- 723
- 30
Vp mambo wana JF
Leo nimekumbuka zamani kweli unajua ni ninii? Haya soma hapa chini
ASALI
Ali ni mtoto mtundu. Alisikia kwamba ukimfuata nyuki utakula asali.
Asali ni tamu kuliko sukari.Basi Ali akapita kando ya maua akawaona nyuki wakirukaruka.
Ali akamkamata nyuki ili ale asali.Ali akaumwa na nyuki.Ali akalia sana.Ali hakupata asali
Haya niambieni haya maneno nimeyatoa wapi kama mnakumbuka,kitu ukikijua tokea utoto hakitoki
Karibuni,nawakilisha
Leo nimekumbuka zamani kweli unajua ni ninii? Haya soma hapa chini
ASALI
Ali ni mtoto mtundu. Alisikia kwamba ukimfuata nyuki utakula asali.
Asali ni tamu kuliko sukari.Basi Ali akapita kando ya maua akawaona nyuki wakirukaruka.
Ali akamkamata nyuki ili ale asali.Ali akaumwa na nyuki.Ali akalia sana.Ali hakupata asali
Haya niambieni haya maneno nimeyatoa wapi kama mnakumbuka,kitu ukikijua tokea utoto hakitoki
Karibuni,nawakilisha