Ipo ivi wakuu naon mnampinga sana mdau apo juu ila ASA wameshaita watu batch 2 ndo wapo training.kama hujaitwa na bado unahitaji kazi nashauri ni vyema ukapeleka cv physically pale kuna cv drop box unakua Na chances kubwa za kuitwa
Acha kazi iendelee Tukutane TPB BANK