Arya Stack of Winterfel

Arya Stack of Winterfel

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,106
Reaction score
1,948
"we are going to die soon so i need to know how it feels like ,,i can't die virgin"
By Arya Stack

Muda huo white walkers wako kwenye njia yao wana kuna na winter hii apa!..

Idea ya kwanza kabisa ya Mwandishi wa Mfululizo wa vitabu vya THE SONG OF ICE AND FIRE ambavyo ndio story ya series ya GAME OF THRONES ilikua ni kuandika story ambayo haina Happy ending.

Ilikua kama story zote duniani zinaisha pale Prince Charming na Snow white waliishi kwa furaha baada tabu zote zote walizo pitia ..

Idea ikawa ni story isio na happy Ending mwenye vitabu vyake anasema "IF YOU THINK IT HAS HAPPY ENDING YOU HAVEN'T PAY ATTENTION"

Kila story ina happy Ending hata zile ambazo Best couple zinavunjika kama ile ya Jack na Rose wa Titanic. Haikua happy Jack kufa ila kifo chake kilikua ndio uzima wa Rose so ni happy kwake

Song of ice and fire ina story zaidi ya 10 ila yakwangu na bora zaidi ni ile ya Arya Stack " THE GIRL IS NO ONE " na hii story ina happy Ending "THE GIRL IS ARYA STACK OF WINTERFEL AND AM GOING HOME" kibabe God of faces haamini anachoona..

Kama ningekua ndio ninae amua nini kifanyike studio za HBO bas ingekuwepo series ya maisha ya ARYA STACK tu ...maisha yake yana unyama mwingi sana aliua mpaka nzi humo ndani Arya..

Somo kuu hapa ni "ADUI UNAE MUWEZA USI MUACHIE MUNGU"

Wasicho kijua wengi ni kwamba Arya Stack cast yake ilikua inaishia Season 7 ila wazo lili badirika juu kwa juu baada ya mjadara wa nani aje amuue KNIGHT KING

wazo la kwanza ni JOHN SNOW the Basterd son ,ila ika onekana kwamba why kila siku Snow ndio anaokoa watu!.
kura zikaangukia kwa Arya na ndio ikawa pona yake japo waandaaji wa series wali mualia hadi Ed Sheran ambae ni favourite kwa Arya in real life kwenye Scene ya kifo chake

Kilicho fata ni story.

IMG_20211114_183121_551.jpg
 
Arya Stack nilipenda sanaa jinsi alivyo na Msimamoo na kazuri mnoo mi alikuwa ananivutia sanaa.

Ila Calistas na Queen Cecy walinipa Hamsha sanaa nlipenda sana niwe nawaangaliaa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
"we are going to die soon so i need to know how it feels like ,,i can't die virgin"
By Arya Stack

Muda huo white walkers wako kwenye njia yao wana kuna na winter hii apa!..

Idea ya kwanza kabisa ya Mwandishi wa Mfululizo wa vitabu vya THE SONG OF ICE AND FIRE ambavyo ndio story ya series ya GAME OF THRONES ilikua ni kuandika story ambayo haina Happy ending.

Ilikua kama story zote duniani zinaisha pale Prince Charming na Snow white waliishi kwa furaha baada tabu zote zote walizo pitia ..

Idea ikawa ni story isio na happy Ending mwenye vitabu vyake anasema "IF YOU THINK IT HAS HAPPY ENDING YOU HAVEN'T PAY ATTENTION"

Kila story ina happy Ending hata zile ambazo Best couple zinavunjika kama ile ya Jack na Rose wa Titanic. Haikua happy Jack kufa ila kifo chake kilikua ndio uzima wa Rose so ni happy kwake

Song of ice and fire ina story zaidi ya 10 ila yakwangu na bora zaidi ni ile ya Arya Stack " THE GIRL IS NO ONE " na hii story ina happy Ending "THE GIRL IS ARYA STACK OF WINTERFEL AND AM GOING HOME" kibabe God of faces haamini anachoona..

Kama ningekua ndio ninae amua nini kifanyike studio za HBO bas ingekuwepo series ya maisha ya ARYA STACK tu ...maisha yake yana unyama mwingi sana aliua mpaka nzi humo ndani Arya..

Somo kuu hapa ni "ADUI UNAE MUWEZA USI MUACHIE MUNGU"

Wasicho kijua wengi ni kwamba Arya Stack cast yake ilikua inaishia Season 7 ila wazo lili badirika juu kwa juu baada ya mjadara wa nani aje amuue KNIGHT KING

wazo la kwanza ni JOHN SNOW the Basterd son ,ila ika onekana kwamba why kila siku Snow ndio anaokoa watu!.
kura zikaangukia kwa Arya na ndio ikawa pona yake japo waandaaji wa series wali mualia hadi Ed Sheran ambae ni favourite kwa Arya in real life kwenye Scene ya kifo chake

Kilicho fata ni story.

View attachment 2010736

Mkuu nakubaliana kabisa na wewe kwamba alichomekwa tu kwenye season 8

Mpaka sasa sikuelewa ni kwanini alikwenda King’s Landing na hakuna la maana lolote alilofanya huko

Alifanya jambo kwenye kumuua White Walker kweli na alionja utamu wa muhogo wa jang’ombe kweli, ingawa ilisikitisha alipo mpiga chini Gendry ambaye anaonekana alimzimia sana

Baada ya hapo akaanza safari ya kwenda King’s Landing lakini alipofika kule wengi walitegemea kutokana na uwezo mkubwa alionao kama “a girl has no name” tulitegemea angefanya jambo haswa kuhusu ile list yake ya watu wa kuja kuwaua
Lakini most of the scene alikua anakimbia kimbia tu hadi mwisho

Binafsi nilipo muona Jermie anatokea kwa Cercie na kuanza kumliwaza kabla hawaja angukiwa na kifusi nilidhania ni Arya kajibadili ili amuue Cersie lakini haikua hivyo

All in all, timing ya age kwa hii series itabakia kuwa the best kabisa kwangu

Maana waigizaji kama akina Arya walianza watoto kabisaa lakini wakakua na series na wakafit kwenye plot utadhani ni kweli
Nakumbuka wananzengo walipiga sana kelele kuhusu Arya na Gendry kulana uroda wakidai Arya bado mtoto..... bado walikua wanamchukulia ni ka Arya ka season 1.

Seeies nyingi inabidi ubadili sana actors ili kuendana na umri wa characters
Lakini kwenye GOT the timing was perfect
 
Back
Top Bottom