What a poor justification and reasoning.....!!!!Unafikiri ukishakuwa rais wa nchi utakosa influence baada ya kustaafu?.
Nyerere alikuwa na influence kwa Mwinyi.
Mkapa alikuwa na influence kwa Magufuli
Haitokuwa ajabu Kikwete akawa na influence kwa SSH.
Na SSH akistaafu huenda akawa na Influence kwa atakayekuja
mchango wako mzuli sanaUnafikiri ukishakuwa rais wa nchi utakosa influence baada ya kustaafu?.
Nyerere alikuwa na influence kwa Mwinyi.
Mkapa alikuwa na influence kwa Magufuli
Haitokuwa ajabu Kikwete akawa na influence kwa SSH.
Na SSH akistaafu huenda akawa na Influence kwa atakayekuja
Hopeless.Khahahahahaha,nakumbuka mbali sana.Mambo mengine hayawezi badirika na hayana madhara kabisa.
Kipindi,naingia darasa7 mwaka flani,nilikuwa naomba matilio kwa jamaa au rafiki zangu was karibu waliokuwa wanamaliza mtihani.
Matilio ya darasa la7,ili nikamue vilivyo.Nakweli zilisaidia.vilevile Sekondary pia Advance.
So,hata kiuongozi lazima kuwe na kumwuliza.
Au maisha yetu ya kila siku,Mambo yakizidi.gafra kwa BABU AU BIBI.
Hivyo punguzeni hasira na kufatilia yasiyowahusu,maana sisi hakuna tusichohoji.
Its normal for the Hypocrites to support each other.mchango wako mzuli sana
CHADEMA kwa huyu mna Hasara Kubwa.
Pole,kanywe maji mengi bro.Hopeless.
Mwanamume asiye na kufua cha kutunza siri!!!kwani kila anachisema lema unamuamini?
Kwahiyo ilitakiwa watoe maneno ya chuki? Mna lipi jema nyie? Mlikua mnawalaumu mara wana matusi mara wao ni pingapinga mara kauli zao hazina heshima kwa Rais!! Sasa wanatoa sifa kwa kilichofanyika still CDM wanakosea?Asali tamu
Ni kama tunavyoomba bikra Maria atuombee wakati hilo ni jukumu la Yesu"Nilimpigia Simu Rais Mstaafu Kikwete na kumwambia nataka kurudi Tanzania nae ( Kikwete ) akaniuliza nipo na nani na nataka Kurudi lini nikamjibu nae ( Kikwete ) akaniambia nisubiri waweke mambo sawa na nitarejea tu"
Akina GENTAMYCINE Kutwa tena kwa Kujiamini na kuwa na Uhakika kuwa Mstaafu Kikwete ana Nguvu katika Utawala wa Rais Samia na Rais Samia hapinduki ( hana Kauli ) kwa Kikwete na kwamba Kikwete bado ni Rais ( japo Kivuli ) huwa mnakataa na Kubisha.
Rais ni Samia kwanini Wewe umpigie Simu Rais Mstaafu Kikwete? Kama Lema kwa Kusema haya unadhani Umempaisha Kikwete basi ndiyo Umeharibu zaidi na Kututhibitishia kuwa Tanzania ya sasa Kikwete ndiyo mwenye Maamuzi ya Mwisho na wengine ni Ceremonial Presidents tu.
SOMA DARK DAYS OF +$+$+3 UZI WA YONGA"Nilimpigia Simu Rais Mstaafu Kikwete na kumwambia nataka kurudi Tanzania nae ( Kikwete ) akaniuliza nipo na nani na nataka Kurudi lini nikamjibu nae ( Kikwete ) akaniambia nisubiri waweke mambo sawa na nitarejea tu"
Akina GENTAMYCINE Kutwa tena kwa Kujiamini na kuwa na Uhakika kuwa Mstaafu Kikwete ana Nguvu katika Utawala wa Rais Samia na Rais Samia hapinduki ( hana Kauli ) kwa Kikwete na kwamba Kikwete bado ni Rais ( japo Kivuli ) huwa mnakataa na Kubisha.
Rais ni Samia kwanini Wewe umpigie Simu Rais Mstaafu Kikwete? Kama Lema kwa Kusema haya unadhani Umempaisha Kikwete basi ndiyo Umeharibu zaidi na Kututhibitishia kuwa Tanzania ya sasa Kikwete ndiyo mwenye Maamuzi ya Mwisho na wengine ni Ceremonial Presidents tu.