Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Unafikiri ukishakuwa rais wa nchi utakosa influence baada ya kustaafu?.

Nyerere alikuwa na influence kwa Mwinyi.

Mkapa alikuwa na influence kwa Magufuli

Haitokuwa ajabu Kikwete akawa na influence kwa SSH.

Na SSH akistaafu huenda akawa na Influence kwa atakayekuja
What a poor justification and reasoning.....!!!!
 
Khahahahahaha,nakumbuka mbali sana.Mambo mengine hayawezi badirika na hayana madhara kabisa.

Kipindi,naingia darasa7 mwaka flani,nilikuwa naomba matilio kwa jamaa au rafiki zangu was karibu waliokuwa wanamaliza mtihani.
Matilio ya darasa la7,ili nikamue vilivyo.Nakweli zilisaidia.vilevile Sekondary pia Advance.

So,hata kiuongozi lazima kuwe na kumwuliza.

Au maisha yetu ya kila siku,Mambo yakizidi.gafra kwa BABU AU BIBI.

Hivyo punguzeni hasira na kufatilia yasiyowahusu,maana sisi hakuna tusichohoji.
Hopeless.
 
Hopeless.
Pole,kanywe maji mengi bro.

Ila ukweli unabaki palepale.kwani Kikwete ni shetani ama!.Si rais mstaafu.

Pooooole,Kama unaipenda CCM vya nini kutupigia kelele.ni walewale kasoro ni namba za viatu.

Komaeni sana na richama Hilo,so hatutaki kelele.
 
Tangu mh Rais alipoondoa zuio haramu la mikutano ya hadhara kulikuwa na watu wengi waliojitokeza hadharani kuwaomba wanasiasa waendeshe siasa za kistaarabu zisizo na matusi wala maneno yenye ukakasi na hilo tangu mikutano ianze kwa kiasi kikubwa imezingatiwa tofauti na tulivyozoea miaka ya huko nyuma mfano kipindi cha awamu ya nne lakini cha ajabu kuna baadhi ya watz wenzetu hawapendi ustaarabu huu uendelee wanachotaka mh Rais aanze kutukanwa ili kiu yao ya mh Rais kupata sababu ya kuharamisha mikutano hiyo ipatikane na turudi kama enzi za mwendazake.

Hapana
 
Mtu kukuunganisha au kukukutanisha na mtu mwingine sio lazima iwe kwamba ndio ana kauli.
Hao niviongozi hivyo mawasiliano kwao nijambo la kawaida

JK anapendelea kusema acheni nongwa
 
"Nilimpigia Simu Rais Mstaafu Kikwete na kumwambia nataka kurudi Tanzania nae ( Kikwete ) akaniuliza nipo na nani na nataka Kurudi lini nikamjibu nae ( Kikwete ) akaniambia nisubiri waweke mambo sawa na nitarejea tu"

Akina GENTAMYCINE Kutwa tena kwa Kujiamini na kuwa na Uhakika kuwa Mstaafu Kikwete ana Nguvu katika Utawala wa Rais Samia na Rais Samia hapinduki ( hana Kauli ) kwa Kikwete na kwamba Kikwete bado ni Rais ( japo Kivuli ) huwa mnakataa na Kubisha.

Rais ni Samia kwanini Wewe umpigie Simu Rais Mstaafu Kikwete? Kama Lema kwa Kusema haya unadhani Umempaisha Kikwete basi ndiyo Umeharibu zaidi na Kututhibitishia kuwa Tanzania ya sasa Kikwete ndiyo mwenye Maamuzi ya Mwisho na wengine ni Ceremonial Presidents tu.
Ni kama tunavyoomba bikra Maria atuombee wakati hilo ni jukumu la Yesu
ni katika kutapatapa
 
"Nilimpigia Simu Rais Mstaafu Kikwete na kumwambia nataka kurudi Tanzania nae ( Kikwete ) akaniuliza nipo na nani na nataka Kurudi lini nikamjibu nae ( Kikwete ) akaniambia nisubiri waweke mambo sawa na nitarejea tu"

Akina GENTAMYCINE Kutwa tena kwa Kujiamini na kuwa na Uhakika kuwa Mstaafu Kikwete ana Nguvu katika Utawala wa Rais Samia na Rais Samia hapinduki ( hana Kauli ) kwa Kikwete na kwamba Kikwete bado ni Rais ( japo Kivuli ) huwa mnakataa na Kubisha.

Rais ni Samia kwanini Wewe umpigie Simu Rais Mstaafu Kikwete? Kama Lema kwa Kusema haya unadhani Umempaisha Kikwete basi ndiyo Umeharibu zaidi na Kututhibitishia kuwa Tanzania ya sasa Kikwete ndiyo mwenye Maamuzi ya Mwisho na wengine ni Ceremonial Presidents tu.
SOMA DARK DAYS OF +$+$+3 UZI WA YONGA
 
Kumpata moja kwa moja Rais wa nchi kidogo ni procedure ndefu lakini kupitisha maombi yako fulani kwa Rais mstaafu ni rahisi kwakuwa hayupo busy sana kama Rais aliyeko madarakani.

Hata kuna baadhi ya watu waliokuwa na shida mbalimbali walipitia kwa Mstaafu Mkapa ili awafilishie ujumbe kwa Magufuli.

Sio kwamba Mkapa ndo alikuwa anaongoza nchi lahasha! Bali waliamini kupitia kwa Mkapa ingekuwa rahisi jambo lao kufikiriwa na kufanyiwa kazi.
 
Back
Top Bottom