Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 36,354
- 23,759
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka,chuma cha reli ,shujaa wa Afrika na jasiri muongoza njia Ametua na kuingia ndani ya jiji la Arusha Kwa Ajili ya Ziara ya Siku mbili.
Ikumbukwe Ya kuwa Arusha ni Mkoa wa kimkakati katika suala zima la Utalii . Ni kitovu Cha Utalii Na Lango la watalii. Ndio Maana jicho la serikali limekuwa Hapo katika kuhakikisha Jiji linaendelea kuwa kivutio cha watalii na kila mtalii atakaye tua katika ardhi hiyo hajutii kuingia Nchini.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka,chuma cha reli ,shujaa wa Afrika na jasiri muongoza njia Ametua na kuingia ndani ya jiji la Arusha Kwa Ajili ya Ziara ya Siku mbili.
Ikumbukwe Ya kuwa Arusha ni Mkoa wa kimkakati katika suala zima la Utalii . Ni kitovu Cha Utalii Na Lango la watalii. Ndio Maana jicho la serikali limekuwa Hapo katika kuhakikisha Jiji linaendelea kuwa kivutio cha watalii na kila mtalii atakaye tua katika ardhi hiyo hajutii kuingia Nchini.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili