ndio nasherehekea hivi
Hakuna Watu ambao nawaheshimu na nawakubali kama wa Arusha na ningewashangaa mno kama nao wangekuwa 'Wapuuzi' na 'Kuandamana' wakati Mshindi wa Uchaguzi Mkuu ni Chaguo lake hata Maulana / Mola na ambaye ni Dk. John Pombe Joseph Magufuli. Wapinzani jipangeni tu.Video hapo chini inatoa ujumbe.
View attachment 1618177
Mkuu kabla ya Uchaguzi nakumbuka ulitoa angalizo mapema kuwa mwisho Wa Siku baada ya Uchaguzi ccm wataiba kura.n kweli yametimia.Ule haukuwa uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Ndio maana 2/3 ya watanzania hawakujitokeza kushiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi. Ww unaweza kushangilia huo ushenzi, maana ccm haina uwezo tena wa kushindana kwa njia ya box la kura.
Mkuu kabla ya Uchaguzi nakumbuka ulitoa angalizo mapema kuwa mwisho Wa Siku baada ya Uchaguzi ccm wataiba kura.n kweli yametimia.