CHEMPO
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 368
- 59
Ukiwa arusha mjini unaweza fikiria kuwa ni meru....ila watu wameamua kuwasapot arumeru wapate chaguo sahihi...kuanzia hiace mpaka gari ndogo zimefugwa bendera za chadema....watu wamepiga skaf za chadema....wamama wamepiga heren na sendal zenye rangi za chadema,,achilia mbali kofia kwa vijana,,,yote haya yanafanyika watu wakiendelea na shuhuli zao za kujitafutia rizki......nachojarib kuuliza wapenz wa ccm wako wap arusha mjin?