bategereza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 3,314
- 1,072
Ewe ndugu yangu mnywaji wa pombe. Hivi likipigwa bomu ukafia hapo bar mida hhii huoni utakosa la kijitetea ukifika huko tuendako ?
Ewe ndugu yangu mnywaji wa pombe. Hivi likipigwa bomu ukafia hapo bar mida hhii huoni utakosa la kijitetea ukifika huko tuendako ?
Vipi unataka waweke thread za unga ndo utafurahi?Hii nayo ni thread.