Jamani huku Arusha karibu kila kijana mwenye maisha mazuri kiasi anamiliki bastola . Sijui kama kuna mkoa watu wanamiliki silaha kama huu . Ni kwanini inakuwa hivi ? Nipe sababu zako.
Jamani huku Arusha karibu kila kijana mwenye maisha mazuri kiasi anamiliki bastola . Sijui kama kuna mkoa watu wanamiliki silaha kama huu . Ni kwanini inakuwa hivi ? Nipe sababu zako.
Ni dalili ya ushamba. Wameambukizwa na nchi jirani ya Kenya.
Hata sehemu za Starehe utawakuta na Silaha , Bastola au Kisu mfukoni, ni wanaume wasiojiamini.
Ni dalili ya ushamba. Wameambukizwa na nchi jirani ya Kenya.
Hata sehemu za Starehe utawakuta na Silaha , Bastola au Kisu mfukoni, ni wanaume wasiojiamini.
Ni dalili ya ushamba. Wameambukizwa na nchi jirani ya Kenya.
Hata sehemu za Starehe utawakuta na Silaha , Bastola au Kisu mfukoni, ni wanaume wasiojiamini.
mkuu kiutamaduni waarusha hutembea na rungu(ng'udi) au sime.sasa kutokana na utandawazi imebidi mila iendelezwe kwa staili ya kutembea na miguu ya kuku.
mkuu kiutamaduni waarusha hutembea na rungu(ng'udi) au sime.sasa kutokana na utandawazi imebidi mila iendelezwe kwa staili ya kutembea na miguu ya kuku.