Arusha: Mpaka wa Kenya na Tanzania, Namanga wafungwa

wewe si uripoti habari nzuri tuchangie.

huna tofauti na boss wako anayetaka wandishi wa habari wamwandike yeye kwenye front page halafu wamsifie hata kama anachokifanya ni uchuro. kakasa mvuto kama bar-maid.
Frent poge...
 
haya ndio madhara ya serikali ya tanzania kufanya kazi kijuha pasipo kuelewa kwamba wakenya wapo makini sana katika kutetea haki zao za msingi.
 
Tilipigwa Msumbiji, nasi tunapiga Kenya.
Mkemia hataki diplomasia
Sijui kama umesoma vizuri, wakenya 12 ndio wanaoshikiliwa na polisi, kwa hasira mamia ya watanzania wanaoishi Kenya wamepigwa na kurushwa vichura kurudishwa TZ, Mali zao zimechukuliwa kinguvu
 
haya ndio madhara ya serikali ya tanzania kufanya kazi kijuha pasipo kuelewa kwamba wakenya wapo makini sana katika kutetea haki zao za msingi.
Haki zipi za msingi? Kuishi Tanzania bila necessary documents ni haki ya msingi ya Wakenya?
 
Hicho ki news source cha gazeti la Kenya kimeandikwa ki udaku udaku udakuuu!

Eti ma bar maid wa Tanzania nao wamefukuzwa Kenya. Yani kuonyesha tu kwamba sisi tuna export ma bar maid. Hawajasema wa kwao waliofukuzwa ni kazi za aina gani wanafanya, na hajasema Kenya wamekuja Ikulu juzi kuomba ma daktari.

Lakini ndio hivyo tena, kama Nyerere alivyosema, ka udaku ka kijinga jinga kakiandikwa Kiingereza kanakuwa ndio ka lauch pad ketu ka deep analysis.
 
Tanzania ilisaini mkataba wa free movement of persons Afrika Mashariki. Utekelezaji umetushinda.
Free movement of persons doesnt work like that. Hata kwenye itifaki ya soko la pamoja la Afrika Mashariki kuna kipengele kinachosema all four freedoms will be exercised SUBJECT TO NATIONAL LAWS of the member states
 
Free movement of persons doesnt work like that. Hata kwenye itifaki ya soko la pamoja la Afrika Mashariki kuna kipengele kinachosema all four freedoms will be exercised SUBJECT TO NATIONAL LAWS of the member states
Free movement of persons EA ipo kwenye makabrasha tu. On the ground Hakujabadilika chochote tangu kusainiwa itifaki.
 
Mkuu nakuambia kwamba tanzania ni nchi ya kitutusa sana. Huwezi kuifananisha na nchi kama Kenya, Uganda au Rwanda.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Yan dereva WA Dar hawezi kabisa kuendesha gari Nairobi kutokana na miundombinu na population ya kule, hatuwezi shindana na Kenya kwa lolote, Kenya wapo juu Sana kimaendeleo, na huwa wana maamuzi, wakiamua wameamua
 
Back
Top Bottom