Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Labda siku hizi tu, Wakenya those days walikuwa wanakamata sana Watz hasa wakigundua huna hati wanazuia mpaka gari lisiondoke inabidi mwenye gari akufuate unarudi upande wa kenya unapigwa lock up kiana alafu kila mmoja anatolewa kwa buku 3Hili huenda lina ukweli. Week kadhaa zilizopita nilipita hapo Namanga kutokea Nairobi aisee upande wa Tanzania kuna Roadblocks sio chini ya nne hiyo yote ni kusaka wakenya tu. Nilishangaa kule Kenya hakuna kitu km hicho.