mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Nasikia fununu kuwa Gambo huwenda akachukua fomu kwa tiketi ya CCM kugombea ubunge wa Arusha mjini.
Kwa hali ilivyo nnapata Uhakika 100% sana Gambo hawezi kushinda katika uchaguzi huo, tukumbuke kua tayari Gambo ana kidonda kibichi kabisa cha kutumbuliwa na Raisi, hivyo basi kama Raisi ameona hufai.
Je, wananchi utawaambia nini? Gambo pia si mzoefu wa siasa za majukwani, hapa pia Lema atatumia uzoefu wake kupita na Gap.
Trust me, ikitokea mtinange ukawa kati ya Lema Vs Gambo, basi mapema mnoo Lema ananyanyua Kikombe.
Kwa hali ilivyo nnapata Uhakika 100% sana Gambo hawezi kushinda katika uchaguzi huo, tukumbuke kua tayari Gambo ana kidonda kibichi kabisa cha kutumbuliwa na Raisi, hivyo basi kama Raisi ameona hufai.
Je, wananchi utawaambia nini? Gambo pia si mzoefu wa siasa za majukwani, hapa pia Lema atatumia uzoefu wake kupita na Gap.
Trust me, ikitokea mtinange ukawa kati ya Lema Vs Gambo, basi mapema mnoo Lema ananyanyua Kikombe.