Arusha mjini: Kata zote 25 zinaenda CHADEMA

Arusha mjini: Kata zote 25 zinaenda CHADEMA

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
8,652
Reaction score
2,642
Wanaukumbi.

Tar 25 octoba halmashauri ya jiji inaenda kuongozwa na CHADEMA.

Hakuna hata kata moja inayoenda CCM.
Sio Moivaro wala Olasiti, sio Sekei wala Terrat.

Jana katika mkutano wa mawakala wamekubali kuwa hali ni mbaya.
 
Kata ya mjini kati ndio kata pekee yenye utata.
 
Wanaukumbi.

Tar 25 octoba halmashauri ya jiji inaenda kuongozwa na CHADEMA.
Hakuna hata kata moja inayoenda CCM.
Sio Moivaro wala Olasiti, sio Sekei wala Terrat.

Jana katika mkutano wa mawakala wamekubali kuwa hali ni mbaya.
Vizuri kujipa matumaini lakini kumbuka kura ni siri
 
Vipi kwa mtoto wa Sokoine..Namelock..hali yake ikoje??
 
Unaelewa maana ya UKAWA?? unaposema CUF imezikwa na ukawa unamaanisha nn?? CUF wapo ndani ya ukawa wanazikwa vip??

Anamaanisha hivi, kila chama cha upinzani kimsimamishe mgombea kuanzia udiwani hadi urais ili wagawane kura za ukawa na JOKA. LA KIJANI libaki kuwa mshindi.
 
Back
Top Bottom