ARUSHA: Meya, Madiwani pamoja na Viongozi wa dini bado wanaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe.Kalist Lazaro,baadhi ya Madiwani,katibu wa Mbunge,viongozi wa dini pamoja na walimu bado wanashikiliwa na Jeshi la polisi tangu wakamatwe jana katika shule ya msingi Lucky Vincent kwa amri ya Mkuu wa Mkoa.

Ikumbukwe Kalist Lazaro ndiye alieshinda tuzo ya Meya bora tanzania nzima "MAYOR AWARD"
 
Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe.Kalist Lazaro,baadhi ya Madiwani,katibu wa Mbunge,viongozi wa dini pamoja na walimu bado wanashikiliwa na Jeshi la polisi tangu wakamatwe jana katika shule ya msingi Lucky Vincent kwa amri ya Mkuu wa Mkoa.

Ikumbukwe Kalist Lazaro ndiye alieshinda tuzo ya Meya bora tanzania nzima "MAYOR AWARD"

Hivi ni kweli walilala mahabusu au unatania??
 
Sometimes tunafanya maamuzi bila kutafakari halafu mambo yakiharibika inakuwa issue kujinasua.rpc keshajitoa kwamba alitekeleza amri ya regional commander in chief. Inawezekana regional attorney general ansandaa charges wapelekwe mahakama ya mafisadi. Wanataka Kukusanya pesa bila reg cic kutoa kibali?
 
Back
Top Bottom