Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
HISTORIA YA MKOA WA ARUSHA
Mkoa wa Arusha ni moja kati ya Mikoa 26 ya Tanzania Bara, wenye ukubwa wa KM za mraba 34,515.5. Kiutawala Mkoa unao Wilaya 6 na Halmashauri 7, Tarafa 23, Kata 33, Vijiji 393, Mitaa 154 na Vitongoji 1471.
Idadi ya watu kwa ongezeko la 2.7% kwa mwaka na inakadiriwa kufikia jumla ya watu wapatao 1,835,787 ambapo wanawake wakiwa sawa na 51.5% na wanaume 48.5%
Mkoa wa Arusha umepakana na Mkoa wa Manyara kwa upande wa Kusini, upande wa Mashariki umepakana na Mkoa wa Kilimanjaro, kwa upande wa Kaskazini umepakana na Nchi ya Kenya na kwa upande wa Magharibi umepakana na Mkoa wa Simiyu na Mara
Pia, soma: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025
Uchaguzi wa mwaka 2025 unatarajiwa kuwa wenye ushindani tofauti na ule uliofanyika mwaka 2020. licha ya matukio kadhaa yanayotishia demokrasia nchini vyama vya siasa vimeendelea kufanya maandalizi kuelekea uchaguzi huo ikiwemo kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo mengi.
MAJIMBO YA KIUCHAGUZI
Katika muktadha wa kisiasa, Mkoa wa Arusha umegawanyika katika majimbo saba (7) ya uchaguzi, ambayo yana jukumu muhimu katika kuwakilisha maslahi ya wananchi katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Majimbo haya ni yafuatavyo:
- Arusha Mjini
- Longido
- Karatu
- Ngorongoro
- Arumeru Mashariki
- Arumeru Magharibi
- Monduli
MATOKEO YA UCHAGUZI WA 2020
Wabunge ambao walichaguliwa katika majimbo ya uchaguzi yanayopatikana katika mkoa wa Arusha asilimia 100% walitoka Chama cha Mapinduzi, huku uchaguzi huo ukidaiwa kutokuwa huru na haki kutokana na kukandamizwa kwa vyama vya upinzani.
Haya ni Matokeo ya idadi ya kura walizopata wagombea katika majimbo ya uchaguzi yaliyopo mkoa wa Arusha.
Katika Jimbo la Uchaguzi la Arumeru Magharibi, wagombea walikuwa John Emanuel Kivuyo wa ACT-Wazalendo, aliyepata kura 2,492, Noah Lemburis Saputu Mollel wa CCM, aliyepata kura 72,160, Ole Meiseyeki Gibson Blasius wa CHADEMA, aliyepata kura 22,743, Arafa Mohamedy Muya wa CUF, aliyepata kura 329, Mch. Laizer Loilole Wilson wa NCCR-Mageuzi, aliyepata kura 323, na Tumaini Andrea Akyoo wa UPDP, aliyepata kura 169. Mgombea aliyeshinda ni Noah Lemburis Saputu Mollel wa CCM.
Katika Jimbo la Uchaguzi la Arumeru Mashariki, wagombea walikuwa Dkt. Pallangyo John Danielson wa CCM, aliyepata kura 84,858, na Rebecca Michael Mngodo wa CHADEMA, aliyepata kura 14,688. Mgombea aliyeshinda ni Dkt. Pallangyo John Danielson.
Katika Jimbo la Uchaguzi la Arusha Mjini, wagombea walikuwa Husna Tomasi Kundi wa AAFP, aliyepata kura 831, Shayo Polycarp John wa ACT-Wazalendo, aliyepata kura 384, Zuberi Mwinyi Hamisi wa ADA-TADEA, aliyepata kura 249, Mathayo Richard Membi wa CCK, aliyepata kura 245, Gambo Mrisho Mashaka wa CCM, aliyepata kura 82,480, Lema Godbless Jonathan wa CHADEMA, aliyepata kura 46,489, Magdalena Loonjumuya Shangay wa CUF, aliyepata kura 177, Elisante Michael Mjema wa Demokrasia Makini, aliyepata kura 57, Elizabeth Geofrey Sembuche wa DP, aliyepata kura 33, Mkama Rashid Jaralya wa N.R.A, aliyepata kura 57, Heftsiba Reward Kiwelu wa NCCR-Mageuzi, aliyepata kura 77, Simon Johnson Bayo wa SAU, aliyepata kura 88, Alfred Nicolas Mollel wa UDP, aliyepata kura 66, na Happy Eliasi Sumari wa UPDP, aliyepata kura 80. Mgombea aliyeshinda ni Gambo Mrisho Mashaka wa CCM.
Katika Jimbo la Uchaguzi la Karatu, wagombea walikuwa Constantine Kanso wa ACT-Wazalendo, aliyepata kura 803, Awack Daniel Tlemai wa CCM, aliyepata kura 49,042, Cecilia Daniel Paresso wa CHADEMA, aliyepata kura 31,150, Emmanuel Patrick Qaymo wa CHAUMMA, aliyepata kura 424, Joseph Jacob Paulo wa NCCR-Mageuzi, aliyepata kura 127, na Joseph Cresent Balde wa NLD, aliyepata kura 140. Mgombea aliyeshinda ni Awack Daniel Tlemai wa CCM.
Katika Jimbo la Uchaguzi la Longido, wagombea walikuwa Steven Lemomo wa CCM, aliyepata kura 61,885, Paulina Lukas Laizer wa CHADEMA, aliyepata kura 1,037, Mkadam Kombo Mkadam wa CUF, aliyepata kura 65, na Feruziy Juma Feruziyson wa N.R.A, aliyepata kura 21. Mgombea aliyeshinda ni Steven Lemomo wa CCM.
Katika Jimbo la Uchaguzi la Monduli, wagombea walikuwa Khalfan Chogga wa ACT-Wazalendo, aliyepata kura 485, Fredrick Edward Lowassa wa CCM, aliyepata kura 72,502, Cecilain Samson Ndossi wa CHADEMA, aliyepata kura 4,637, na Adam Mohamed Kijuu wa N.R.A, aliyepata kura 145. Mgombea aliyeshinda ni Fredrick Edward Lowassa wa CCM.
Katika Jimbo la Uchaguzi la Ngorongoro, wagombea walikuwa Supeet K. Olepuruko wa ACT-Wazalendo, aliyepata kura 1,080, William Tate Olenasha wa CCM, aliyepata kura 63,536, na Jacqueline Aisaa Swai wa CHADEMA, aliyepata kura 7,983. Mgombea aliyeshinda ni William Tate Olenasha wa CCM.
YANAYOJIRI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025
JANUARY
- Arusha: Wananchi wakasirika wamvaa Mbunge Gambo mkutanoni "Unatuangusha, sisi tunakufa"
- Paul Makonda: Gambo usitake umaarufu, uwe unahudhuria vikao vya maendeleo Mkoa wa Arusha
- Kuelekea 2025 - Mbunge Arumeru Magharibi azomewa msibani, asema wananchi wasitake laana kwa kumzomea kiongozi!
- Ulega katika kikao kizito na Makonda na Mrisho Gambo, akituliza hali baada ya kurushiana maneno
- Sakata la Makonda na Gambo Zitto amchana Gambo kuhudhuria vikao asifikiri kuna kupita bila kupingwa kama 2020
- Diwani Arusha: Mbunge Mrisho Gambo ni matatizo tunayotembea nayo, hafai
- Lema: Sitagombania ubunge Arusha mjini
- Arusha: Paul Makonda atoa pikipiki 20 kwa Jeshi La Polisi ili kuimarisha Ulinzi na Usalama
- Wamasai Monduli wampongeza Rais Samia kupitishwa na Chama, Wapinga madai ya fidia ya eneo la mazoezi ya Kijeshi
FEBRUARY
- Mwenezi CCM mkoa wa Arusha: Arusha tutampa kura za kishindo Rais Samia
- Mrisho Gambo: CHADEMA Wakisusa, sisi twala
- Dkt. Mpango: Nimeamua kukaa kando kwa hiari na kuwaachia wengine waendeleze gurudumu la kumsaidia Rais Samia
- Makonda: Watu waliofanikiwa kwa fedha za ushoga moto wa Mungu utawashukia. Mungu amtunze Trump!
- Mwana FA asema Gambo ana kila sababu za kuendelea kuwa Mbunge wa Arusha
- Makonda: Pesa za mafao ya ubunge tusiwape wajumbe, karibuni kuwekeza Arusha
- Arusha Mjini: Mrisho gambo azungumza na wazee kuhusu uhamasishaji wa kutoa elimu nishati safi
- Mrisho Gambo: CCM tumekaa tumesema sisi 2025 mgombea wetu ni Dkt. Samia, wewe yasiyokuhusu unapiga porojo unapoteza muda
- Wazee wataka uwakilishi Bungeni na ngazi nyingine za kimaamuzi
- Hadi wazee sasa nao wamekuwa chawa, waunga mkono 'mitano tena' kwa Rais Samia
- Mrisho Gambo: Godbless Lema aliniambia mzigo anaoupiga Rais Samia umenifanya hata hamu ya kugombea iniishe
- Ramsey: CCM Arusha Mwiko kusema mitano tena kwa mbunge na diwani
- Wananchi Arumeru Magharibi wasema mbunge wao ni mzigo, ameshindwa kutekeleza ahadi ya ujenzi wa barabara
- Arusha: CHADEMA yakutana na Mashehe na kufanya nao Mazungumzo
- Heche: CCM wanaishi kwa kuviziana hawawezi kufanya uchaguzi kama wa Chadema
- Heche amtembelea muasisi wa Chadema, Mzee Ewdin Mtei
- John Heche: CCM haitaki uchaguzi, Makalla akisema 'hatujajiandaa' aulizwe kwa nini wanaengua wagombea
- Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kaskazini: Nitawashughulikia wote wasiomkubali Lissu
- Msajili wa Vyama vya Siasa ameupa Siku 7 Uongozi wa TLP kujibu madai ya ukiukwaji wa Katiba, Kanuni za Chama hicho
- Kwa hii collabo ya Meya Max na RC Makonda, Gambo hachomoki
- Mrisho Gambo hauhitajiki tena Arusha, Mwachie Paul Makonda
- Gambo Vs Makonda: Gambo asema anayetaka Ubunge Arusha aje uwanjani aone kama ngoma ya kitoto inakesha
- Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"
- Arusha: Waziri mkuu awasema viongozi wanaojipanga na kugombania vyeo
- Makonda: Dalili mojawapo ya umasikini ni majungu na fitina
- Arusha: RC Makonda aiagiza TAKUKURU kumhoji Mrisho Gambo upotevu wa Tsh. Milioni 400 zilizochangwa na wadau kwa ajili ya kusaidia bodaboda
- CCM Arusha yapinga Madiwani kumpigia Debe Makonda, yatoa Onyo kali
- Polisi wilaya ya Arusha, waaswa kujipanga kusimamia uchaguzi mkuu
MARCH
- Viongozi wa bodaboda Arusha wasema wana mashaka na Gambo sakata la Milioni 400
- Mawakili wa Samia Legal Aid kusimamia kesi za wananchi mahakamani
- Makonda: Kuanzia kesho (Machi 3) kila Mwanaume hapa Arusha am-post mpenzi wake
- Ligi Kuu ya Wanawake yasimamishwa kupisha Samia Women Super Cup
- RC Makonda amsapoti muuza nyanya kwa kumpa shilingi laki moja
- Bibi wa miaka 74 apewa bajaji na Tv na RC Makonda
- Arusha Saccos yamshukuru Rais Samia kwa kuwapa Makonda, Mkuu wa Mkoa mchapakazi na Mbunifu
- Tazama ofisi ya Makonda yageuka kuwa uwanja wa mazoezi, mamia wafurika kupiga yoga
- Makonda uso kwa uso na Gambo kwenye mabanda Arusha, ona kilichotokea mbele ya Waziri Ndejembi
- RC Makonda amsapoti muuza nyanya kwa kumpa shilingi laki moja
- Makonda: Rais Samia amelipia gharama zote za Samia Legal Aid, wananchi msiwe waoga kudai haki zenu
- Tazama ofisi ya Makonda yageuka kuwa uwanja wa mazoezi, mamia wafurika kupiga yoga
- Arusha Saccos yamshukuru Rais Samia kwa kuwapa Makonda, Mkuu wa Mkoa mchapakazi na Mbunifu
- Mbio za Magari kumpokea Rais Samia Arusha, Sherehe za Siku ya Wanawake
- Makonda hana jambo dogo, Ng'ombe zaidi ya 400 za chinjwa Arusha ni mwendo wa kula nyama choma bure
- Mrisho Gambo: Rais Samia anaishi 4R kupitia Samia Legal Aid
- Makonda: Arusha itaongoza kwa kura nyingi za Rais Samia
- Katibu Mwenezi Arusha, Saipulani Ramsey: 'No Reform No Election' ni kachumbari tu inayochagizwa kuliwa kwa Pilau
- Arusha: Katibu mwenezi abainisha kuwa rushwa bado ni tatizo ndani ya CCM
- Makonda awatafutia vijana nafasi 1000 za kusoma nchini lndia. Huyu kijana ni kiongozi mbunifu sana, Rais Samia mtumie vizuri Makonda
- Paul Makonda aomba mashindano ya Quran ya Alhikma yakafanyike Arusha, ahaidi usimamizi wa mambo yote utakuwa chini yake
- Paul Makonda: Nawaonya wafanyabiashara wa Arusha msipandishe bei za bidhaa kwa kigezo cha mwezi wa Ramadhan
- Fredrick Lowassa: Serikali ya Rais Samia imetoa takribani shilingi Bilioni 37 kwaajili ya kutekeleza miradi ya maji wilayani Monduli
- Taasisi ya Kiislam Twarika Zawiya yamshukuru Rais Samia kwa kuwapatia fedha za kufuturushi kwenye mfungo wa Ramadhan
- Arusha: Serikali yafanya uboreshaji barabara ya Namanga – Sinonik – Mairouwa
- Arusha: Katibu mwenezi abainisha kuwa rushwa bado ni tatizo ndani ya CCM
- Kamati ya hesabu za serikali yatembelea na kuonyesha kuridhishwa na mradi wa kufua umeme wa Kikuletwa
- VIDEO: Mama amchana kiongozi wa TARURA bila uoga, amwambia 'acha uongo, unafiki hatutaki sisi Wananchi'
- Gambo afuturisha Arusha, asema anajivunia kuwa sehemu ya shughuli hiyo ya kujenga jamii iliyojaa huruma na upendo
- Viongozi wa dini Arusha wamuombea Dua, Mrisho Gambo na Rais Samia
- Prof. Kabudi: Rais Samia ni matunda ya waasisi wa Tanzania
- Prof. Kabudi: Ukiona Wanasiasa Wanazunguka Mikoani Basi Ujue Wamepewa Uhuru na Demokrasia Inafanya Kazi Kupitia 4R za Rais Samia
- Mongella awataka Wanachama wa CCM kudumisha amani kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025
- Gavu: Hakuna Mgombea Udiwani atakayeonewa
APRIL
1. Damas Ndumbaro: Mama Samia Legal Aid imewafikia wananchi zaidi ya milioni mbili
2. Mrisho Gambo atoa msaada kwa wajasiriamali Arusha mjini, waimba 'Dear Gambo hatudanganyiki'
3. Wananchi Arusha mjini watishia kususia kupiga kura uchaguzi mkuu 2025, 'Mbunge ametudanganya kama watoto, tumechoka'
4. Mrisho Gambo: Naibu Waziri upo tayari kujiuzulu?
5. Gambo aibua tuhuma za ufisadi wa mabilioni Arusha, Spika Tulia amwagiza Mchengerwa kuandaa ripoti iwasilishwe Bungeni
6. Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha: Makonda ni Mnyamwezi wetu! Amebeba mizigo mingi; ushirikina, roho mbaya - vyote tumevuka!
7. Meya jiji la Arusha: Mrisho Gambo ndiye anayemchokoza Makonda, ni mgomvi kwa kila mtu
8. RC Makonda: Barabara Arusha ni ajenda ya kila kiongozi kuanzia ngazi ya mtaa
9. Meya jiji la Arusha: Siyo kwamba Gambo anaonewa ukweli ni hahudhurii vikao, na akihudhuria anakuwa wa mwisho kuingia na wa kwanza kutoka
10. Waziri mkuu: Serikali tutahakikisha uchaguzi unakuwa wa amani na utulivu, Tume huru ya uchaguzi wametuambia watausimamia kwa uhuru, haki na uwazi
11. Prosper Tesha: Wachimbaji madini tumekubaliana kura zetu zote ni kwa Rais Samia
12. Ukweli Vs Uchawa: Mbunge Gambo Kumwaga Mboga Sakata la Rushwa Arusha, RC & Waziri Waandae Majibu Mengine
MAY
- Prosper Tesha: Wachimbaji madini tumekubaliana kura zetu zote ni kwa Rais Samia
- Ukweli Vs Uchawa: Mbunge Gambo Kumwaga Mboga Sakata la Rushwa Arusha, RC & Waziri Waandae Majibu Mengine
- Mrisho Gambo: Mimi na yeye nani ameumiza wengi?
- Mwenyekiti wa Chadema Arumeru atimkia CCM, asifu miradi ya maendeleo chini ya Rais Samia
- Dkt. Mpango: Hatutaki Uchaguzi wa vurugu, kuna mtu hajui anampigia Kura nani?
- Mchungaji Mwl Steven Jacob atekwa na watu wasiojulikana
- CM Arusha yapinga madai ya kuifadhili CHAUMMA, Yasema kama ni kuiua CHADEMA ingewekeza nguvu kwa Zitto Kabwe
- Chama cha wanasheria Afrika Mashariki kimelaani vikali kukamatwa kiholela, kuteswa na kufukuzwa kwa Boniface Mwangi na Agather Atuhaire
- DC Kiswaga: Endapo William Lukuvi atagoma kustaafu Ubunge Isimani, wananchi tutamstaafisha kwa lazima
- Salum Mwalimu: Hatupaswi Kuiachia CCM Kushiriki Uchaguzi, Kama ni vipigo tumeshapigwa sana
- Salum Mwalimu Katibu Mkuu CHAUMMA: Yaja siku CHADEMA watataka kufanya kazi na CHAUMMA
- Mjumbe Kamati Kuu CCM, Namelok Sokoine: Rais Samia anatukanwa kwenye Vyombo vya Habari, Vijana tumeacha Mama azalilishwe, tumeshindwa kujibu?
- Polisi: 'Wachokonozi' Jackson na Joseph wamekamatwa kwa tuhuma za matumizi mabaya ya mtandao
- Balozi Nchimbi awakutanisha Paul Makonda na Mrisho Gambo, wapiga picha ya pamoja
- Makonda achukua rasmi fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Arusha Mjini
- Mtanange wa jimbo la Arusha Mjini utakuwa wa aina yake, Mrisho Gambo naye achukua fomu
- Ezekiel Mollel achukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi
- Catherine Magige achukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea ubunge kuwakilisha wanawake kupitia CCM, Arusha
- Mhadhri wa TEHAMA UDSM Mathew Mndeme, autaka Ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki
- Mpinzani wa Nassari, Johnson Sarakikya aingia rasmi ulingoni amerejesha fomu ya ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki
- Msanii Dogo Janja autaka udiwani Kata ya Ngarenaro
- Mpinzani wa Nassari, Johnson Sarakikya aingia rasmi ulingoni amerejesha fomu ya ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki
- Joshua Nassari achukua fomu ya ubunge jimbo la Arumeru Mashariki
- Cecilia Paresso achukua fomu ya kuomba CCM kugombea Ubunge Jimbo la Karatu Mkoani Arusha
- Polisi wamefika kwa ajili ya kutawanya Wananchi waliofunga barabara Kata ya Terati, jijini Arusha
- Wananchi Terati Arusha wafunga barabara wakimkataa Mgombea Udiwani aliyeteuliwa na kamati ya Kata CCM
- Arusha Mjini wapo tayari kumrudisha Gambo
- Katibu mwenezi mkoa wa Arusha Saipulani Ramsey: CCM unakatwa jina na unaitwa kushukuru wajumbe
- Waratibu na Wasimamizi wa Uchaguzi Wapatiwa Mafunzo Maalum Jijini Arusha
- Mtia nia Ubunge Arusha: Mikopo ya kausha damu tutaifuta, najua mahali nitapata pesa zisizokuwa na riba
- Wajumbe Arusha wafanya yao kura za maoni viti maalum, Catherine Magige atupwa
- Kiongozi wa kimila asema Wamasai wote ni CCM, Wamasai wenyewe wampinga vikali, mmoja asema 'Mimi ni Tundu Lissu damudamu'
- Udiwani Ngarenaro: Dogo Janja aibuka kidedea dhidi ya diwani anayemaliza muda wake
- Kiongozi aliye timkia CHAUMMA akitokea CCM afunguka kutishiwa
- Kisaka: Mdahalo Wa Kisiasa Hauwezi Kufanyika Bila Usawa wa Vyama
- Mwenyekiti CHADEMA Arusha: Mbowe atoke hadharani na aseme 'No reforms No
- Bilioni 51 kutumika ujenzi wa barabara, masoko na stendi Arusha
- Hii Media coverage anayofanyiwa Makonda, nyama choma, kubandika mabango na hizi kofia kabla hata ya kampeni ni gharama ya nani? na return ni ipi?
- Leo Magari yenye chata za Makonda na kombati ya kijeshi yameenea jijini Arusha kuelekea uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi
- THBUB yatoa Mafunzo kwa Polisi Arusha Kuhusu Haki za Binadamu na Utawala Bora kuelekea Uchaguzi 2025
- Kama kuna watu walizoea kutajirika, waambie Makonda anaingia kazini Oktoba 29
- Paul Makonda amwaga machozi akielezea sababu iliyompelekea kugombea ubunge, asema taifa linahitaji viongozi watakaotimiza kusudi la Mungu
- Tazama Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Paul Makonda akitoa watu mapepo
- Paul Makonda: Ni aibu Arusha kutokuwa na Stendi, haina faida uwe kiongozi halafu hakuna alama uliyoacha
- Paresso: CCM ndiyo Chama kinachoweza kuongoza nchi hii
- Wamasai Ngorongoro tuna imani kwa CCM na Rais Samia, tunatarajia Suluhisho la Changamoto za Malisho
- Nabii Geordavie aichangia CCM Arusha milioni 50 ili kuwezesha kampeni za Samia
- Fataki zapigwa Arusha Mjini katika maandalizi ya kumpokea Rais Samia
- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Maridhiano Tanzania: Vijana ni nguvu kazi ya taifa, lakini wasitumike vibaya
- Polisi Arusha wajipanga kuuimarisha Usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
- Vituko vinaendelea! Haya maandalizi yanayofanyika Arusha Mjini ya kumpokea Samia, pesa inayotumika ni zile B 100 au kodi za watanzania?
- Makonda: Naenda kuwa Mbunge wa International, Arusha ndiyo Jimbo la Wajanja
- Mkazi wa Arusha: Rais Samia ni Ua Lazima Watanzania tulitumie, Tukiliacha likadondoka tutapata hasara, Tushiriki Uchaguzi
- Samia: Tutajenga SGR kuanzia Tanga - Arusha -Musoma
- Makonda: Samia Umekaa kwenye kiti kwa Mapenzi ya Mungu, atakupa tena Oktoba 29 urudi Ikulu, Usiogope
- Samia: Ukiamka mgonjwa oktoba 29 mtaarifu mjumbe ufanyiwe mpango ukapige kura
- Godson: Mungu awasamehe wanaomkosoa Samia, miaka 5 haitoshi
- Mgombea ubunge viti maalum: Samia amekuza fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania
- Nape: Waliosusa wameamua kukiua chama chao wenyewe
- Samia: Serikali Kurejesha Mashamba ya Kiliflora na Arusha Blooms Serikalini
- CCM yawatoa Waadzabe porini na kuwavalisha sare za Chama kwenye Mkutano Karatu
- Makonda: Nchi haiendeshwi kwa matamko, inaendeshwa na Katiba; wanaofanya uchochezi wana ‘passport’, hawako nchini
- Makonda: Nikiingia bungeni moto utawaka, nitapiga spana watu mpaka kitaeleweka
- Makonda: Mara sio ya mauaji, sio ya kukatana Mapanga, wakiwaambia msiende kupiga wajibuni hivi
- Mgombea ubunge wa Chama cha MAKINI Arusha awaonya Heche na Maria
- Ole Sendeka: Utekaji ni jambo la ovyo, na tunapaswa kufahamu ni nani anafanya hivi
- Ole Sendeka: Wafanyabiashara waliokosa zabuni Serikalini ndio wanaofadhili vijana na Vyombo vya Habari kuichafua Serikali
- Ole Sendeka: Rais Samia hata ukimuangalia usoni kwa moyo wa upendo alionao hawezi kuhusika na Utekaji, ni kiongozi mwenye upendo wa dhati kwa nchi
- Ole sendeka: Kuna watu ndani ya CCM wamenuna na wanaendelea kufadhili kampeni na Propaganda kubomoa heshima ya Mgombea Urais CCM
- Makalla: Kila mmoja atapiga kura kwa amani, na atakayeshinda atatangazwa kwa haki
- Makonda: Mgambo wa jiji mjipange, sitokubali kuona wakinamama na vijana wananyanyaswa kwenye biashara zao
- Mwenezi CCM Arusha, Saipulani Ramsey: Uchaguzi ni jambo la kupita, asijitokeze mwanasiasa yeyote kuwaambia bodaboda muandamane
- Cecilia Paresso: Watanzania kapigeni kura kwa usahihi ili kuepuka kura zao kuharibika
- Sheikh Hamis: Amani ni kama yai; likivunjika ni ngumu sana kulirudisha, mataifa mengi ya Afrika yaliyopoteza amani, na sasa wanajuta
- Ole Sabaya: Kanisa la kweli halibishani na Serikali
- Chama cha AAFP chajitoa mbio za ubunge na udiwani majimbo ya Arumeru Mashariki na Magharibi baada ya kuhujumiwa
- Ole Sabaya: Kanisa la kweli halibishani na Serikali