Arusha kupandisha Bendera yake?


Historia imekupiga chenga wewe acha upuuzi. Mzee Mbowe alimpa support kubwa sana ya kifedha Nyerere wakati wa kusaka uhuru nashangaa unakurupuka kuhusu watu wa Kaskazini. Nchi itachukuliwa mbele ya macho yako na kama unataka hamia ulaya au jimalize kama Isike
 
wakwere bwana,
afadhali bilicanas kuliko kwa Luhanjo,anayekula mabiliaoni yetu kwa ukarabati tu...................
 
Kujitenga sio suruhu,mwandishi haja maanisha kujitenga,swala ni haki iwepo katika Tanzania na wananchi wake pasipo kujali kabila na dini
 
Manyanyaso yanayofanywa na serikali ya ccm dhidi ya watu wa kanda ya kaskazini hususan Arusha yanafanya watu wafikirie kupandisha bendera yao..

Bora ungejiita Mungi-ki tujue moja, kweli majina huumba!
 
kuliko kijitenga naona tuaanze kuwachapa bakora wanaofanya maovu, lakini la kujitenga kuwa Tanganyika ilo sawa kabisa sion sababu kwa nini ninaitwa mtazania , bora niitwe mtanganyika kwa kuwa tanganuika na zanzibar ziliungana kwa nia moja sasa wao wana nia zaidi ya tano, wapi sasa muungano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…