Kinana anekwenda vuna aibu ya mwakaDuh aisee
Hivi ina maana Mkuu wa Wilaya amekosa kabisa miradi ya kuzinduliwa na boss wake Kinana? Mhhh hapa tatizo lipo sana. Wananchi wa Orkereyan simamenu muhesabiwe na Mwenyekiti wenu #Daudi_Safari
Nimepata tarifa kutika kwa Mwandishi wangu wa Arusha Dc, afisa Tarafa na afisa kata wanahaha kumuonyesha mradi kinana. Wanataka kudandia miradi ya Chadema
Jambazi ambae serekali sikivu ya ccm imeshindws kumkamata hii ni aibu, alafu kodi umewahi kulipa wapi wewe k. Pesa unalipwa kwa bahasha hapo lumumba na kusaini p. Cash isiyo na copy...sillyChadema Arusha bana, Ishu ndogo kama hiyo inakuuzwa hiyo yote ni mbunge kilaza Lema amesababisha, Hivi Chadema hawajui hela za mfuko wa jimbo ni kodi zetu watanzania? Lema angetoa pesa zilizotokana na ujambazi wake sawa, lakini hizi za mfuko wa jimbo sio zake
Duh kweli CCM ni janga la kitaifa. Haikubaliki hata kidogo kubaka miradi itokanayo na nguvu ya wananchi
Hodi hodi nawasalimu nyote
Je atakuja Arusha na Fisi?
Mimi namsubiri nimpopoe mawe mpumbavu sana yaani Chadema wajenge yeye aje na mkasi wake kwani Chadema hatuna mikasi...
....Nanyaro Ephata akitokea tu atuambie zile mashine za kufulia Mt Meru Hospital ziko wapi !!!
Kiswahili tunaita EMBE TAYARI. Yaani msomali anataka kuvuna asichopanda.....majanga.
Akitaka ahamie kwetu tumpakate.
Yani inatia kichefu chefu Hawa ccm, yani kweli miaka53 wanakosa miradi ya kuleta wajinga wao kuzindua.