Arusha hali ya umeme ni tata

Arusha hali ya umeme ni tata

mamseri

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
707
Reaction score
292
Wana jf wiki iliyopita Tanesco walikata umeme bila taarifa kwa siku nne mfululizo ilipofika ijumaa wakati rais amekuja wakaachia umeme mpaka jana jpili. Rais ameondoka mwendo ni ule ule hakuna umeme na hawatoi taarifa kama kuna shida au ni nini, je tuchukue hatua gani watu tunaotegemea umeme kwa shughuli zetu tufanyeje?
 
Si mmechagua CDM.Poleni.
Wana jf wiki iliyopita Tanesco walikata umeme bila taarifa kwa siku nne mfululizo ilipofika ijumaa wakati rais amekuja wakaachia umeme mpaka jana jpili. Rais ameondoka mwendo ni ule ule hakuna umeme na hawatoi taarifa kama kuna shida au ni nini, je tuchukue hatua gani watu tunaotegemea umeme kwa shughuli zetu tufanyeje?
 
Back
Top Bottom