Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Leo kumefanyika chaguzi kwenye wa Serekali ya Mtaa wa Sanare jijini Arusha na mgombea wa Chadema ameibuka mshindi huu mtaa ulikua wa ccm lakini chadema wameuchukua baada ya mwenyekiti wake wa awali kuamia chadema
MATOLEO YA JUMLA YA CHADEMA NA MITAA JIJINI ARUSHA
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
WILAYA YA ARUSHA MJINI
S.L.P 12525, NGARENARO - ARUSHA
TAAIFA KWA UMMA!!
Idadi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa;
HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA
Baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 14/12/2014
ccm MITAA 78
CHADEMA MITAA 76
JUMLA ni MITAA 154
Current status
Baada ya Uchaguzi wa Marudio wa Serikali za Mitaa, 2016
CHADEMA MITAA 79
ccm MITAA 74
JUMLA 153
Mtaa Mmoja bado Uchaguzi wa Marudio haujafanyika
Kata TERRAT Mtaa wa BONDENI KATI
Imetolewa na;
KURUGENZI YA HABARI NA MAWASILIANO
CHADEMA WILAYA YA ARUSHA MJINI
MATOLEO YA JUMLA YA CHADEMA NA MITAA JIJINI ARUSHA
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
WILAYA YA ARUSHA MJINI
S.L.P 12525, NGARENARO - ARUSHA
TAAIFA KWA UMMA!!
Idadi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa;
HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA
Baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 14/12/2014
ccm MITAA 78
CHADEMA MITAA 76
JUMLA ni MITAA 154
Current status
Baada ya Uchaguzi wa Marudio wa Serikali za Mitaa, 2016
CHADEMA MITAA 79
ccm MITAA 74
JUMLA 153
Mtaa Mmoja bado Uchaguzi wa Marudio haujafanyika
Kata TERRAT Mtaa wa BONDENI KATI
Imetolewa na;
KURUGENZI YA HABARI NA MAWASILIANO
CHADEMA WILAYA YA ARUSHA MJINI