Arusha: CHADEMA yaigaragaza CCM kwenye serekali za mitaa leo

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,242
34,903
Leo kumefanyika chaguzi kwenye wa Serekali ya Mtaa wa Sanare jijini Arusha na mgombea wa Chadema ameibuka mshindi huu mtaa ulikua wa ccm lakini chadema wameuchukua baada ya mwenyekiti wake wa awali kuamia chadema

MATOLEO YA JUMLA YA CHADEMA NA MITAA JIJINI ARUSHA

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
WILAYA YA ARUSHA MJINI
S.L.P 12525, NGARENARO - ARUSHA

TAAIFA KWA UMMA!!

Idadi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa;

HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA

Baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 14/12/2014
ccm MITAA 78
CHADEMA MITAA 76
JUMLA ni MITAA 154

Current status
Baada ya Uchaguzi wa Marudio wa Serikali za Mitaa, 2016

CHADEMA MITAA 79
ccm MITAA 74
JUMLA 153

Mtaa Mmoja bado Uchaguzi wa Marudio haujafanyika

Kata TERRAT Mtaa wa BONDENI KATI

Imetolewa na;

KURUGENZI YA HABARI NA MAWASILIANO
CHADEMA WILAYA YA ARUSHA MJINI
 

Attachments

  • IMG-20160424-WA0177.jpg
    IMG-20160424-WA0177.jpg
    56.3 KB · Views: 138
Leo kumefanyika chaguzi kwenye wa Serekali ya Mtaa wa Sanare jijini Arusha na mgombea wa Chadema ameibuka mshindi huu mtaa ulikua wa ccm lakini chadema wameuchukua baada ya mwenyekiti wake wa awali kuamia chadema

MATOLEO YA JUMLA YA CHADEMA NA MITAA JIJINI ARUSHA

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
WILAYA YA ARUSHA MJINI
S.L.P 12525, NGARENARO - ARUSHA

TAAIFA KWA UMMA!!

Idadi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa;

HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA

Baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 14/12/2014
ccm MITAA 78
CHADEMA MITAA 76
JUMLA ni MITAA 154

Current status
Baada ya Uchaguzi wa Marudio wa Serikali za Mitaa, 2016

CHADEMA MITAA 79
ccm MITAA 74
JUMLA 153

Mtaa Mmoja bado Uchaguzi wa Marudio haujafanyika

Kata TERRAT Mtaa wa BONDENI KATI

Imetolewa na;

KURUGENZI YA HABARI NA MAWASILIANO
CHADEMA WILAYA YA ARUSHA MJINI
Umesahau kipigo cha tatu bila hivi karibuni?
 
Halafu LB46 wako bize kutulisha matango pori ya eti CHADEMA na UKAWA wamepoteza supporters wengi pamoja na popularity eti kwa sbb ya jamaa kuwa bize kutumbua vijipu vya wapinzani wake ndani ya CCM huku akiacha majipu sugu na kuyafungia chumbani kwake!!

Hawa wanastahili kwenda kupimwa afya ya akili zao, pengine wanahitaji kupelekwa hospitali maalum ya vichaa kusaidiwa!!
 
Mbona CCM wamepigwa hivyo au walisahau kwenda na fisi wao kwenye mikutano ya kampeni?
 
Leo kumefanyika chaguzi kwenye wa Serekali ya Mtaa wa Sanare jijini Arusha na mgombea wa Chadema ameibuka mshindi huu mtaa ulikua wa ccm lakini chadema wameuchukua baada ya mwenyekiti wake wa awali kuamia chadema

MATOLEO YA JUMLA YA CHADEMA NA MITAA JIJINI ARUSHA

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
WILAYA YA ARUSHA MJINI
S.L.P 12525, NGARENARO - ARUSHA

TAAIFA KWA UMMA!!

Idadi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa;

HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA

Baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 14/12/2014
ccm MITAA 78
CHADEMA MITAA 76
JUMLA ni MITAA 154

Current status
Baada ya Uchaguzi wa Marudio wa Serikali za Mitaa, 2016

CHADEMA MITAA 79
ccm MITAA 74
JUMLA 153

Mtaa Mmoja bado Uchaguzi wa Marudio haujafanyika

Kata TERRAT Mtaa wa BONDENI KATI

Imetolewa na;

KURUGENZI YA HABARI NA MAWASILIANO
CHADEMA WILAYA YA ARUSHA MJINI
Arusha ni CHADEMA na CHADEMA ni Arusha forward ever backward never
 
Leo kumefanyika chaguzi kwenye wa Serekali ya Mtaa wa Sanare jijini Arusha na mgombea wa Chadema ameibuka mshindi huu mtaa ulikua wa ccm lakini chadema wameuchukua baada ya mwenyekiti wake wa awali kuamia chadema

MATOLEO YA JUMLA YA CHADEMA NA MITAA JIJINI ARUSHA

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
WILAYA YA ARUSHA MJINI
S.L.P 12525, NGARENARO - ARUSHA

TAAIFA KWA UMMA!!

Idadi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa;

HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA

Baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 14/12/2014
ccm MITAA 78
CHADEMA MITAA 76
JUMLA ni MITAA 154

Current status
Baada ya Uchaguzi wa Marudio wa Serikali za Mitaa, 2016

CHADEMA MITAA 79
ccm MITAA 74
JUMLA 153

Mtaa Mmoja bado Uchaguzi wa Marudio haujafanyika

Kata TERRAT Mtaa wa BONDENI KATI

Imetolewa na;

KURUGENZI YA HABARI NA MAWASILIANO
CHADEMA WILAYA YA ARUSHA MJINI

Labda sielewi kiswahili vizuri hivi matokeo ya kura 79 kwa 74 ni kugaragaza???? Ukitilia maanani kwamba Wamasai, Wameru na Wachaga wote wa Arusha ni Chalema!!!
 
Leo kumefanyika chaguzi kwenye wa Serekali ya Mtaa wa Sanare jijini Arusha na mgombea wa Chadema ameibuka mshindi huu mtaa ulikua wa ccm lakini chadema wameuchukua baada ya mwenyekiti wake wa awali kuamia chadema

MATOLEO YA JUMLA YA CHADEMA NA MITAA JIJINI ARUSHA

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
WILAYA YA ARUSHA MJINI
S.L.P 12525, NGARENARO - ARUSHA

TAAIFA KWA UMMA!!

Idadi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa;

HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA

Baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 14/12/2014
ccm MITAA 78
CHADEMA MITAA 76
JUMLA ni MITAA 154

Current status
Baada ya Uchaguzi wa Marudio wa Serikali za Mitaa, 2016

CHADEMA MITAA 79
ccm MITAA 74
JUMLA 153

Mtaa Mmoja bado Uchaguzi wa Marudio haujafanyika

Kata TERRAT Mtaa wa BONDENI KATI

Imetolewa na;

KURUGENZI YA HABARI NA MAWASILIANO
CHADEMA WILAYA YA ARUSHA MJINI

Kelele zote hizi nilijua labda ccm wako chini ya 20% kama pemba, kumbe it's almost 50/50.
Kama kwenye ngome ndio hivo, Sasa hiyo itachukuliwa vp....
Maana nijuavo mie kwenye ngome za ccm wanaenda mpaka 95%.
 
Kelele zote hizi nilijua labda ccm wako chini ya 20% kama pemba, kumbe it's almost 50/50.
Kama kwenye ngome ndio hivo, Sasa hiyo itachukuliwa vp....
Maana nijuavo mie kwenye ngome za ccm wanaenda mpaka 95%.


huoni chama kikongwe kilivopoteza mvuto hadi kufukia 50/50 na chama kipo miaka 50 ya uongozi bado kinatoka suluhu na chama kipya muda ukiongezeka kitafutika mana hizo kura kilizozipata ni za wazee n wazee wakifa ccm chali.
 
Leo kumefanyika chaguzi kwenye wa Serekali ya Mtaa wa Sanare jijini Arusha na mgombea wa Chadema ameibuka mshindi huu mtaa ulikua wa ccm lakini chadema wameuchukua baada ya mwenyekiti wake wa awali kuamia chadema

MATOLEO YA JUMLA YA CHADEMA NA MITAA JIJINI ARUSHA

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
WILAYA YA ARUSHA MJINI
S.L.P 12525, NGARENARO - ARUSHA

TAAIFA KWA UMMA!!

Idadi ya Wenyeviti wa Serikali za Mitaa;

HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA

Baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 14/12/2014
ccm MITAA 78
CHADEMA MITAA 76
JUMLA ni MITAA 154

Current status
Baada ya Uchaguzi wa Marudio wa Serikali za Mitaa, 2016

CHADEMA MITAA 79
ccm MITAA 74
JUMLA 153

Mtaa Mmoja bado Uchaguzi wa Marudio haujafanyika

Kata TERRAT Mtaa wa BONDENI KATI

Imetolewa na;

KURUGENZI YA HABARI NA MAWASILIANO
CHADEMA WILAYA YA ARUSHA MJINI
Acha kikuza mambo bwana mdogo..
 
Back
Top Bottom