Jembe Jembe
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 749
- 1,797
Kuna taarifa kwamba Arusha imejengwa kwa kasi kubwa ikiwemo miundo mbinu ya barabara za Lami ,Shule na Zahanati ikiwa ni mkakati wa maksudi wa kumng'oa Mbunge wa Upinzani Godbless Lema.
Wataalamu wa kuchonga vibarazani,vijiwe vya kahawa na wanasiasa wanadai kwamba nguvu kubwa inayotumika na serikali jijini Arusha ya kujenga miradi mikubwa ukiwemo mradi wa maji wa bilioni 525 ni ishara tosha kwamba Lema hatakiwewi tena .
Lakini wanasiasa wanadai kwamba bila Lema jiji la Arusha lisingejengwa hivi .ukweli wa hii story ukoje wadauuu?????na Arusha bado inamhitaji Lema?
Mara nyingi Lema pale anapokuwa akiulizwa kuwa umewafanyia nini wanaarusha hujibu kuwa nimefanikiwa kuwajengea ujasiri na kuwatoa woga jambo ambalo amefanikiwa kutokana na sifa yake kuu ya ushawishi wa haraka pale anapokuwa akizungumza na wananchi.
Wataalamu wa kuchonga vibarazani,vijiwe vya kahawa na wanasiasa wanadai kwamba nguvu kubwa inayotumika na serikali jijini Arusha ya kujenga miradi mikubwa ukiwemo mradi wa maji wa bilioni 525 ni ishara tosha kwamba Lema hatakiwewi tena .
Lakini wanasiasa wanadai kwamba bila Lema jiji la Arusha lisingejengwa hivi .ukweli wa hii story ukoje wadauuu?????na Arusha bado inamhitaji Lema?
Mara nyingi Lema pale anapokuwa akiulizwa kuwa umewafanyia nini wanaarusha hujibu kuwa nimefanikiwa kuwajengea ujasiri na kuwatoa woga jambo ambalo amefanikiwa kutokana na sifa yake kuu ya ushawishi wa haraka pale anapokuwa akizungumza na wananchi.