Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,053
- 18,015
Asante sana mkuu,na ni wazi kabisa kuwa afrika hii kama ina mega cities labda haitazidi mitano,umenyambua vizuri mno mkuu.Ndio maana nimekwamba ya kwamba labda haulewei maana ya Mega City!
Kuwa na Mega City siyo kitu cha kujivunia na wala MegaCity SIYO maendeleo bali ni makosa ambayo baadhi ya nchi zenye MegaCity zimefanya.
Na Nchi zote zenye Mega City leo hii wana matatizo makubwa sana na kama wangepata kuwa nafasi ya kwetu wasingependa kuwa na Mega City, bali wangesambaza Rasilimali na maendeleo nchi nzima ili wawe na Miji mingi yenye ukubwa wa wastani na yenye kutoa ubora wa maisha kwa watu wake!