Jamani nani hasa anafaa kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki?
Nasikia Kuna Elishia Kaaya na Elirehema Kaaya.
Wanajimbo wa kule mara nyingi wanachagua bila vigezo,jee Elirehema atamshinda Elishilia[/QUOTE]
USICHOKIELEWA NINI SASA_SEMA UNAJIFANYA KICHWA NGUMU TU.
Jamani nani hasa anafaa kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki?
Nasikia Kuna Elishia Kaaya na Elirehema Kaaya.
Wanajimbo wa kule mara nyingi wanachagua bila vigezo,jee Elirehema atamshinda Elishilia
Elirehema Kaaya yuko vizuriMi nnavofahamu ni lazima NASSARY achukue jimbo la Arumeru Mashariki haina ubishi iyoo hata kidogo, kama hamuamini tusubirie.
Nasari yule mchawi? Mbunge Shilia
Nasari yule mchawi? Mbunge Shilia
Naaree nnduu a kweruu,Mh Mbunge Nasari upo kamili?Tupo kwa ajili ya kulinda kura zako,Hatochakachua mtu.
Elirehema Kaaya yuko vizuri