Arumeru kunazidi kupamba moto!

Naona hizi mbio zitakuwa kali kweli...my prayers to the path of truth and justice.....
 
Uuuuuii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
Ni ubunge tu???! Ila watu wa Leguruki,Nkoaranga,Kitakiti,Kingori,Maruvango,Nkoansiyo,Mirini,Mbuguni,Maji ya Chai,Tengeru,Usariva,Kibaoni ect watamchangua.
Ni dunia huru,nchi huru,mawazo huru.Kila mtu ana haki ya kufanya chochote including kugombea hata kama baba yake alishakuwa kiongozi.
Honngera mwanamke shujaa kwa kutoa ofa,mimi si kama wengine,bado tunasalimiwa kwa kuanza na Mangi?!!!!
 
Hivi ina maana mbunge anapata malipo mazuri kuliko mkurugenzi wa shirika la umma tena la kimataifa
Hebu jiulize sasa kweli maslahi ya mbunge yanazidi mkurugenzi wa AICC ???? No nadhani kuna kitu cha ziada labda kulenga uwaziri au tamaa tuu ya kujulikana!!!!

 
Uko Arumeru nini Mkuu, basi imekula kwako, chomoka maghamba's!!!!!

 
...Kule Meru huwa tunaamini Maji yaliko pita mwanzo lazima tu yapite tena.
...
Aisee! Unasema 'kule' Meru, ina maana haupo huko ingawa unatupa news kuwa umefanya utafiti! Nilitegemea kwa mtu anayefanya utafiti atakuwa site, so nilidhani utasema "Hapa Meru ..." na sio "Kule Meru ...". Halafu hayo matokeo ya utafiti mbona umeyatoa mapema sana wakati zoezi la kuchukua fomu bado halijaisha, ina maana akitokea mtu mwingine kuchukua fomu utaanza upya kutafiti?
 
Huo moto uko wapi sasa kutaka kuwaingiza watu dili ya mtu wako Sioi au Naoa, bila shaka maghamba's watakulipa vizuri!!!!!

 
EL at work!!! Lazima watu waliokwenye payroll yake wampigie debe Sioi kwakuwa ni Mkwewe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…