SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,072
Hii imetokea kwa kijana mwenzetu,
Alimchumbia binti akapeleka posa kisha mahari. Taratibu za ndoa zikaanza kwa pande zote mbili, yaani upande wa bwana harusi na bi harusi.
Siku ya siku ikafika ili ndoa ifungwe, upande wa mume wakajiandaa ili waende kuoa, hapo wakiwa wameshajipamba, wamepaka piko, hina na vikorombwezo vyote, kabla ya kutoka nyumbani kwenda kubeba jiko. Unakuja ujumbe kuwa ndoa imekufa na mahari yao imerudishwa.
Bado haijawekwa wazi sababu za kubatilishwa kwa ndoa dakika za lala salama, ila huenda wana familia wanajua.
Tanbih picha hiyo haihusiani na stori husika
Alimchumbia binti akapeleka posa kisha mahari. Taratibu za ndoa zikaanza kwa pande zote mbili, yaani upande wa bwana harusi na bi harusi.
Siku ya siku ikafika ili ndoa ifungwe, upande wa mume wakajiandaa ili waende kuoa, hapo wakiwa wameshajipamba, wamepaka piko, hina na vikorombwezo vyote, kabla ya kutoka nyumbani kwenda kubeba jiko. Unakuja ujumbe kuwa ndoa imekufa na mahari yao imerudishwa.
Bado haijawekwa wazi sababu za kubatilishwa kwa ndoa dakika za lala salama, ila huenda wana familia wanajua.
Tanbih picha hiyo haihusiani na stori husika