Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
there you come nyumba kubwa!!
mi nadhani kama yanakukuta haya huna haja ya kuanza kuibia ibia kwa kuchiti, jiridhishe kuwa umefikia ukomo wa ku put up with his nosense, move on with your life (pack and leave)
maana kwa kumjoin unamkomesha nani hasa?
cdhani kama nia ni kukomesha, nia ni kupunguza machungu.....