Artificial Intelligence: Yajayo yanatisha!

Artificial Intelligence: Yajayo yanatisha!

Forgotten

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,630
Reaction score
11,096
Leo kuna project (coding) nilikuwa naifanya, ilikuwa ni mabadiliko kwenye Next.js ili website iweze ku-display phonetic transcription.

Ni kazi ndogo tu ila kwasababu ilikuwa inahitaji changes kwenye files za:

config.js
_document.js
_app.js

Nikaona kuokoa muda niingie ChatGPT ili inisaidie ku-encode characters zitakazoweza kusomwa kwenye Vivinjari (browsers) tofauti-tofauti.

Sasa kinachotisha ni kuona jinsi hatua za awali tu AI inavyochakata code kwa haraka na kwa usahihi with almost zero errors.

Naanza kuamini yale yanayotabiriwa kuwa kazi zetu zipo matatani kwa miaka ijayo.

Yajayo yanatisha!
 
Leo kuna project (coding) nilikuwa naifanya, ilikuwa ni mabadiliko kwenye Next.js ili website iweze ku-display phonetic transcription.

Ni kazi ndogo tu ila kwasababu ilikuwa inahitaji changes kwenye files za:

config.js
_document.js
_app.js

Nikaona kuokoa muda niingie ChatGPT ili inisaidie ku-encode characters zitakazoweza kusomwa kwenye Vivinjari (browsers) tofauti-tofauti.

Sasa kinachotisha ni kuona jinsi hatua za awali tu AI inavyochakata code kwa haraka na kwa usahihi with almost zero errors.

Naanza kuamini yale yanayotabiriwa kuwa kazi zetu zipo matatani kwa miaka ijayo.

Yajayo yanatisha!
Siyo tu kutisha lakini ni hatari. Ndiyo maana wamesema kuwe na udhibiti la sivyo tunakwisha. Hii ya mchina iliingia kwa mikwala lakini ChatGPT kwangu naona iko mbele.
 
Leo kuna project (coding) nilikuwa naifanya, ilikuwa ni mabadiliko kwenye Next.js ili website iweze ku-display phonetic transcription.

Ni kazi ndogo tu ila kwasababu ilikuwa inahitaji changes kwenye files za:

config.js
_document.js
_app.js

Nikaona kuokoa muda niingie ChatGPT ili inisaidie ku-encode characters zitakazoweza kusomwa kwenye Vivinjari (browsers) tofauti-tofauti.

Sasa kinachotisha ni kuona jinsi hatua za awali tu AI inavyochakata code kwa haraka na kwa usahihi with almost zero errors.

Naanza kuamini yale yanayotabiriwa kuwa kazi zetu zipo matatani kwa miaka ijayo.

Yajayo yanatisha!
Niko maeneo ya jirani na VETA hapa mkuu, vipi nikuchukulie fomu? 😀
 
Leo kuna project (coding) nilikuwa naifanya, ilikuwa ni mabadiliko kwenye Next.js ili website iweze ku-display phonetic transcription.

Ni kazi ndogo tu ila kwasababu ilikuwa inahitaji changes kwenye files za:

config.js
_document.js
_app.js

Nikaona kuokoa muda niingie ChatGPT ili inisaidie ku-encode characters zitakazoweza kusomwa kwenye Vivinjari (browsers) tofauti-tofauti.

Sasa kinachotisha ni kuona jinsi hatua za awali tu AI inavyochakata code kwa haraka na kwa usahihi with almost zero errors.

Naanza kuamini yale yanayotabiriwa kuwa kazi zetu zipo matatani kwa miaka ijayo.

Yajayo yanatisha!
Leo nimeipa kazi ya kudraft contract na ikaifanya within 2 minutes! Nadhani hata kesi inaweza kuiandaa ukiipa dondoo.
 
Kazi nyingi sana miaka 10 ijayo zitakuwa obsolete kwa binadamu.
Kama kuna project moja naifatilia ndiyo ipo kwenye development, jamaa wanatengeneza cooking pots zinakuwa integrated na AI & Camera. Maana yake unaweza kuwa na watoto nyumbani ukapika chakula kupitia simu kikaiva wao wanaenda kupakua tu.
 
Mwaka juzi nilikua TL wa kampuni ya loan recovery.

Ikatokea kwamba recovery rate inashuka sana. CEO akacheki na idara ya IT wakadevelop bot ambazo zikawa zinafanya loan recovery.

CEO akiwa analenga kwamba ikatokea bot akafanya recovery nzuri kuliko sisi binadamu apitishe redundancy.

Bots zilikua 3. Zote zimelishwa maneno ya kufanana, kwa wiki mbili za mwanzo bots 2 zilikua hazikosi kwenye top 5 ya best performers. Bot 1 alikua anakua kati au mwisho.

3rd week bots 2 zikawa zinacheza kati. Bot 1 mwisho. 4th week bots zote zikawa zipo chini kabisa. Ingawa zilifeli but what if CEO asingeona ubahili ile kazi akaoutsource kwa kampuni kabisa? Au zikalishwa maneno zaidi? Nilikua nasikiliza voice record bots zikiongea na wateja nilinotice shida ipo kwenye lugha pia coz yalikua yanaongea kiingereza pekee.

Anyway, I think kuna mambo wangerekebisha bots zingereplace a good number of workers
 
Leo kuna project (coding) nilikuwa naifanya, ilikuwa ni mabadiliko kwenye Next.js ili website iweze ku-display phonetic transcription.

Ni kazi ndogo tu ila kwasababu ilikuwa inahitaji changes kwenye files za:

config.js
_document.js
_app.js

Nikaona kuokoa muda niingie ChatGPT ili inisaidie ku-encode characters zitakazoweza kusomwa kwenye Vivinjari (browsers) tofauti-tofauti.

Sasa kinachotisha ni kuona jinsi hatua za awali tu AI inavyochakata code kwa haraka na kwa usahihi with almost zero errors.

Naanza kuamini yale yanayotabiriwa kuwa kazi zetu zipo matatani kwa miaka ijayo.

Yajayo yanatisha!
Hakuna umatatani wowote wa kazi, kwahiyo wala usiogope na uendelee kujifunza namna ya kuitumia kwa usahihi kwa maana hiyo ni tool ya kurahisisha kazi.

Binafsi tangu CHATGPT iwepo nimekua sishindi sana kule stack overflow au GitHub ni kuweka maelezo na kusaidiwa directly.

Na ndani ya hii miezi miwili kuna project naifanya ya reactjs, firebase na MySQL, ndio nimejifunza kwamba haiwezi kureplace kazi ila inarahisisha kazi.

Kwa maana kwa vilanding pages labda Kila mtu anaweza kutengeneza kupitia hizo AI ila kwa project serious ni lazima ujue unachokifanya ndio uweze kwenda nazo sawa hizo AI.

Kuna makosa mengi sana zinafanya, kwa maana unaweza ukauliza swali au ukataka itengeneze logic fulani ila majibu yakawa ndivyo sivyo kwa mara ya kwanza ila mara ya pili ndio inaweza kugenerate code yenye kumake sense.

Kwahiyo kama haujui unachofanya na haujui namna sahihi ya kutoa maelezo ya namna unavyotaka logic itengeneze unaweza ukashtukia unakua na mfumo ambao kimuoneiano ni sahihi ila kiufanisi ikawa na upumbavu mtupu.
 
Mwaka juzi nilikua TL wa kampuni ya loan recovery.

Ikatokea kwamba recovery rate inashuka sana. CEO akacheki na idara ya IT wakadevelop bot ambazo zikawa zinafanya loan recovery.

CEO akiwa analenga kwamba ikatokea bot akafanya recovery nzuri kuliko sisi binadamu apitishe redundancy.

Bots zilikua 3. Zote zimelishwa maneno ya kufanana, kwa wiki mbili za mwanzo bots 2 zilikua hazikosi kwenye top 5 ya best performers. Bot 1 alikua anakua kati au mwisho.

3rd week bots 2 zikawa zinacheza kati. Bot 1 mwisho. 4th week bots zote zikawa zipo chini kabisa. Ingawa zilifeli but what if CEO asingeona ubahili ile kazi akaoutsource kwa kampuni kabisa? Au zikalishwa maneno zaidi? Nilikua nasikiliza voice record bots zikiongea na wateja nilinotice shida ipo kwenye lugha pia coz yalikua yanaongea kiingereza pekee.

Anyway, I think kuna mambo wangerekebisha bots zingereplace a good number of workers
AI inaweza kureplace kazi ambazo hazihitaji interaction ya moja kwa moja na binadamu au zenye interaction isiyo hitaji maelezo yenye kubadilika badilika ila eneo lolote lenye hali ya muingiliano usiotabirika AI bado haiwezi kufanya kazi kwa ufanisi.
 
Sasa mkuu
Leo kuna project (coding) nilikuwa naifanya, ilikuwa ni mabadiliko kwenye Next.js ili website iweze ku-display phonetic transcription.

Ni kazi ndogo tu ila kwasababu ilikuwa inahitaji changes kwenye files za:

config.js
_document.js
_app.js

Nikaona kuokoa muda niingie ChatGPT ili inisaidie ku-encode characters zitakazoweza kusomwa kwenye Vivinjari (browsers) tofauti-tofauti.

Sasa kinachotisha ni kuona jinsi hatua za awali tu AI inavyochakata code kwa haraka na kwa usahihi with almost zero errors.

Naanza kuamini yale yanayotabiriwa kuwa kazi zetu zipo matatani kwa miaka ijayo.

Yajayo yanatisha!
Kama mtu hajui hayo mambo atajuaje kukomand prompt za kile unachokitaka kwejye AI. Je hio AI itaota kuwa kuna mtu fulan wnawaza hiki kwa hio nimuundie.
AI inakutegemea mkuu usiogope.
Kama itajiundia ulimwengu wake na mahitaji yake sawa.
 
Back
Top Bottom