kesho kimeo man utd kinakutana na wazee wa dozi ARSENAL mimi binafsi nadhani tutawafunga mabao machache sana kama 3 cz sioni beki gani kwa upande wa man utd anaweza kuwazuia helb&rosick kule pembeni,
pia km van persie ataanza game ya kesho,inawezekana hata idadi ya magoli nayo ikaongezeka