GHarama za maisha: Mchele 2500/= (mwaka 2005 ilikuwa 800/=); Sukari 2500/= (mwaka 2005 ilikuwa 600/= hadi 700/=); Nyama kilo moja 6000/=(mwaka 2005 ilikuwa 1200/= hadi 1500/=); S0da 600/= ((mwaka 2005 ilikuwa 150/=); Chumvi paketi 300/=(mwaka 2005 ilikuwa 50/=); Hivi tutafika?
Kwanini hamtaki kuruhusu mtu anayewaza tofauti na nyinyi kutoa mawazo yake hadharani tena kwa hoja zenye kujipambanua waziwazi, hivi si kweli kuwa hivi sasa chadema kimefikia katika arobaini zake kwa haya yanayoendelea...!
hamuoni kuwa ni wakati muafaka wa kufanya serious discussion ili kunusuru hali ya chama kwa sasa...!
GHarama za maisha: Mchele 2500/= (mwaka 2005 ilikuwa 800/=); Sukari 2500/= (mwaka 2005 ilikuwa 600/= hadi 700/=); Nyama kilo moja 6000/=(mwaka 2005 ilikuwa 1200/= hadi 1500/=); S0da 600/= ((mwaka 2005 ilikuwa 150/=); Chumvi paketi 300/=(mwaka 2005 ilikuwa 50/=); Hivi tutafika?
Ni upuuzi kumfananisha dr.slaa na specie yoyote yenye damu ya ccm, kwani si kweli mnageza harakati za cdm? hukumu ya Lema is your best wishes on Christmas feast. Salamu kwa Edward Lowassa. UMMA UTASHINDA
huwaga sicomment threads za wapuuzi kama huyu...najiandaa kwenda kusherekea ushindi wa lema..naanza na savannah lounge..tukabanane pale..watu wanakuwaga nyomi,..sijui sababu ya zile coupon za kulewa bure?dah..
mh.spika nakumbushia ile ripoti niliyokupa kuhusu waziri mkuu kusema uongo