dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,220
- 54,873
hahahhahaa aiseeHana tako mkuu..kapigwa pasi moja ya laaanaa arifu
hahahhahaa aiseeHana tako mkuu..kapigwa pasi moja ya laaanaa arifu
mapenzi upofu mkuuUnampenda devil woshiper
Una shida sana ya uelewa hapo umeamua kutumia akili gan sasa kama sio mbuzi ndo maana ukaelewa ulivyoelewaShaggy anakwambia I wonder if God is a woman.... Akili za mbuzi kuuelewa huu mstari kazi ipo
mkuu unajua huo mstari nimeuelwaje au una quote kimbuzi mbuzi tu?Una shida sana ya uelewa hapo umeamua kutumia akili gan sasa kama sio mbuzi ndo maana ukaelewa ulivyoelewa
Inaonekana were mfugaji maana unampenda sana mbuzi kila sehem mbuzi mbuzi mbuzi au huwa unawadandia?mkuu unajua huo mstari nimeuelwaje au una quote kimbuzi mbuzi tu?
hahahahaaa mkuu nidandie mbuzi sio hahahhaaa Masukubashi yamejaa kibao. By the way tusiharibu uzi wa mdau mkuuInaonekana were mfugaji maana unampenda sana mbuzi kila sehem mbuzi mbuzi mbuzi au huwa unawadandia?
Ok be healedmapenzi upofu mkuu
Wakati waa uumembaji maandiko yanasema tuliumbwa kwa sura na mfano wa MUNGU which means ni mwanamke na mwanaume kwa sababu hakuspecifyHivi mungu yupo? ( hili swali hakuna anaeweza kujibu zaidi ya kuamini uwepo wake, sasa tusio amini?) Hivi mungu hana jinsi? Wanaamini mungu ni mwanaume kwa sababu mwanaume ni bora kwa mwanamke, na hakuna anaeweza kuthibitisha jinsia ya mungu. Hivyo mungu anaweza kuwa mwanamke. hapa I can't imagine utamu wa papuchi yake.