Arfi kuondoka CCM

Mkuu hii ni lugha gani? Kidogo ifanane na kipare.

Baba ni yale mambo ya kibodi android,mie nabofya kiswahili kumbe sijahakiki, yaani hiyo nami ndio nashangaa hivi niliandika madudu-This is what I intended to say :Mtu mzima ovyo kumbe zile mvi ni Bure kabisa'
 

Sasa Huo ni Umalaya wa Kisiasa...yeye kujiungaa ccm Leo anataka ashinde na uteuzi .....na Umri wake Huo apumzike tu !!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…