Are you a single girl aged 18-21? come and see

Are you a single girl aged 18-21? come and see

Balyambalora

Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
37
Reaction score
15
wapendwa salam sana
Mim ni kijana wa umri wa miaka 23, nipo Dar es salaam, na mwanafunzi ktk chuo kikuu cha...! I m just a man of simple ways.napenda sana amani, nachukia waongo na mambo yao yote.
Nipo apa leo kutafuta girl friend mwenye maono, mcha mungu, self motivated, lovng, caring, who wll act as ateacher 2 me na awe na umri tajwa.
umbo na sura ni majaliwa ya mwenyezi MUMGU.
Thaks kwa ushilikiano wako.
 
Wanamaono kulikouliyoandika

hahahahaaa, hizi maneno zako nimecheka sana mbele ya keyboard mkuu. Dogo anataka 'demu mwenye maono' hahaha haya bhana. Ila atambue kuwa JF ni chaka la miashoki.
 
Back
Top Bottom