Japokuwa hiyo njia ni nzuri, lakini nadhani wananjia nyingi nzuri zaidi ya hiyoVetting ni gharama lkn itapunguza gharama ukikaa nao wakiwa jkt kwa miaka yote miwili
Wakat wanamaliza majina yasomwe wewe unaadhabu hutamaliza sasa utaendelea miez nane wasioteliwa warudi uraian
Watazame kwa mwezi mmoja ukiwa kazi nyingi kama wamefika jana utagundua nurtured attributes
Ukiwq na file la mmienendo yao ya miaka miwili na la miez miwili ya adhabu
Utagundua tu huku ukitumia watu kupata taarifa us shulen na kwao kaz imeisha
Wanausalama wa tz na wajeda wengi zaman walitoka jkt kwa vetting ya hivyo achana ya kumfatilia mtu utahangaika Kwan wengine wanna maisha ya kuigiza dairy
kaka, ufafanuzi kidogo sana hapo kwenye BOLD tafadhali..polisi wana utaratibu wao wa ajira..na wso wanapaswa kutafuta watu makini...shida moja kubwa ni rushwa..kuna mbinu chafu wanazitumia katika kuwapata watu sahihi...hili kiko maeneo mengi ya nchi na katik sekta nyingi...polisi wengi hawana weledi wa kazi...kuna mapendekezo yametolewa kama yakifanyiwa kazi tegemea mabadiliko makibwa katik jeshi la polisi...
Kumpata mtu sahihi kwa kazi flani kuna garama zake sasa wahusika wanatanguliza mbele maslaho yao binafsi na hivyo kupata watu wasiofaa kwa kiasi kikubwa...
Jeshi la polis ni sekta inayojihusisha na rushwa kuliko sekta yoyote tanzania...
Thank youKuna series inaitwa The American..ukifuatilia hii series inaonyesha spies are born and made...first their IQ are high also they want to save the world wakiwa wadogo kabisa ..so wakikuona hivyo wanakuchukua na kukuendeleza...km unataka kujua hayo mambo watch that series.
The best thread of all time, started by one of the best minds of all time in this forum. ingawa kuna wakati mkuu Infantry Soldier unanikera sana kaka, unakuwa unapotea mno kakaThe best thread of all time
Infantry Soldier na mkuu de'levis Wana hazina kubwa sana vichwani mwao... I appreciate themThe best thread of all time, started by one of the best minds of all time in this forum. ingawa kuna wakati mkuu Infantry Soldier unanikera sana kaka, unakuwa unapotea mno
mkuu de'levis naomba msaada kwa haya:..polisi wana utaratibu wao wa ajira..na wso wanapaswa kutafuta watu makini...shida moja kubwa ni rushwa..kuna mbinu chafu wanazitumia katika kuwapata watu sahihi...hili kiko maeneo mengi ya nchi na katik sekta nyingi...polisi wengi hawana weledi wa kazi...kuna mapendekezo yametolewa kama yakifanyiwa kazi tegemea mabadiliko makibwa katik jeshi la polisi...
Kumpata mtu sahihi kwa kazi flani kuna garama zake sasa wahusika wanatanguliza mbele maslaho yao binafsi na hivyo kupata watu wasiofaa kwa kiasi kikubwa...
Jeshi la polis ni sekta inayojihusisha na rushwa kuliko sekta yoyote tanzania...
mkuu de'levis naomba msaada kwa haya:
(1) inawezekana kwa mfano mossad ama CIA wakawa na recruitment school ndani ya nchi adui kama Iran pasipo idara za usalama za Iran kujua?
(2) pia, jaribio la mapinduzi ya kijeshi huko Turkey linaweza kuwa termed as "intelligence failure"?
mkuu Ramark inawezekana vipi idara ya ujasusi wa kijeshi ya Uturuki failed to sniff around, smoke out and foil the coup plot. kazi ya intelligence apparatus ni kujua mambo hata kabla hayajatokea ili kutoa uwezo kwa law enforcement kuweza kukamata wa husika na kuwaweka panapohusika. now, what went wrong with this Turkish scenario?Najaribu la pili Kwa sababu daima intelligence ni sensentation the way you think and draw a realistic conclusion
Turkey's failure coup detat ni suala ambalo lilikuw chini ya ulinzi wa askar daima mapinduz yanajulikana na ngazi ya juu ya wqnajeshi ambapo hutumiq military calls to link information ambazo daima hacking ni ngumu na wataalamu wa mawasiliano jeshin kama Turkey unaona ndio njia iliyotumika hata kama n via the traditional ways
Intelligence failure tungeipima endapo wangeteka ikulu au sehemu ya nchi Kwa sababu mtoa taarifa hakuwa makin
Nasema hivyo Kwa sababu
Coup ya Turkey ilitaka kulihusisha jeshi zima hivyo hilo lilishindikana na ndio maana hao ambao hawakuafiki waliupinga pia
Hoja ya marekan unataka kuihusisha na Turkey Kwa sababu ambao hawakuafiki walitoa pia taarifa kuwa marekan itakiwa nyuma yao ili kusolve economic issues ambazo realistic ndio sababu ya mapinduz hayo sio intelligence failure Kwa sababu kila kitu ndani ya jeshi kilijulikana ila hawakujua tarehe ila walijiandaa
Marekan hakushiriki ila aliwaaproach
you are right...kuna maneno mwalimu wetu aliwahi kutwambia na na aliyapenda sana alikuwa akisema hivi '' when you control your thoughts you controlyour mind, when you control your mind you control your life, once you reach a stage of being in total control of your life you become the master of your own destine...umakini katika jambo lolote ni kitu cha muhimu sana...huko mwanzo nadhan page 4 ya mada hii nilisema hakuna anayezaliwa na kufiti kweye kazi flani pasipo kupitia mafunzo yoyote....
wakati tuko vijana mzee wetu alipenda ktufindisha vitu vingi sana wakati ule tuliona kama havifai hivi....mtaa tuliokuwa tukikaa ilikuwa ni maeneo ya watu wenye nafasi zao za kutosha nk..mzee wetu alikuwa akitwambia mimi na mdogo wangu ..siku moj akasema nataka mniambie ndani a ile nyumba ya tatu kuna watu wangapi wanaishi mle na mkadirie na umri nawapa wiki nzima...sasa ndani ya wiki moja tulikuwa tuna kazi hiyo ya kujua na alitwambia sitaki mwende pale mkaonekana na mkaulize haya niliyowambia tumieni akili zenu kujua ....
basi kwa kuwa ilikuwa ni kazi ilibidi tufanye..kufanyika kwake ilikuwa ni kuangalia hasa wakati wakifua nguo wakianika...zile nguo tuliweza kuziangalia na kuelewa ni nguo za aina gani...za watoto tulizona..za watu wazima tuliziona ...za watoto wa kike au kiume tulziona na pia a watu wazima...njia hii ilitusaidia kujua nyumba ile ina watu wangapi...na wa jinsia ipi....lakini pia tulikuwa tukienda kwenye pipa la kutupia taka kabla ya wahusika hawajaja kuchukua uchafu ule...tulikuwa tuna akusanya vijikaratasi..na hapa napenda niseme wazi kabisa watu wengi hawalijui hili hata huko maofisini..unakuta mtu karatasi ina bonge la siri anachofanya ni kuifinyanga finyanga kwa kiganja kisha aantupa kwenye dustbin...sasa sisi tuliweza kutumia njia hiyo ya kwenda kwenye ma dustbin na kuangalia vikaratas karatasi, chupa, mifuko , karatasi za benk (pay slip) nk .. na hvyo tulijua mtu flani anapenda kutumia kinywaji gani, ananunua wapi, benk ya yake ni ipi, na mambo mengine kama hayo...
yote hii ni kutaka kujua watu wanaokuzunguka ni wa aina gani na hivyo uishi nao vipi...yako mazoezi mengi sana hata tulipokwenda ''shambani ''meng tulifundishwa namna ya kumjua mtu hata kama hujawahi kumuona...namna ya kuangalia hata mwandiko na aina ya uandishi wa mtu na ..mwandiko ni njia moja wapo ya kujua tabia ya mtu....humu jf kwa kuwa hatuandiki kwa wino lakini unaweza kujua character ya mtu kutokana na uandishi wake...kwa mfano The Boss hawezi akaandika kama anavyoandika@lara 1..au anavyoandika Pasco ana tofauti kubwa na hao wengine ukifatilia michango yao yote na aina ya andishi wao waweza kujua ni watu wa aina gani...
jambo la msingi hapa ni kuelewa na kujielewa na kuwa makini kwa kila jambo...nguvu ya umakini ni muhimu sana...ni lazima utengenezwe kuwa spy nje ya hapo ni ngumu kufanikisha kazi kujitengeneza mwenyewe ni ngumu sana..
de'levis;NB: mwambieni Invisible auweke uzii huu sticky maana kuna mda nautafuta siupati
Mossad ama CIA wanaweza kuwa na mbinu nyingi sana za kuweza kufunza majasusi wao ndani ya nchi hasimu/adui kama kitengo cha counterintelligence cha nchi husika hakiko imara na spy catchers wamelala ama kuzidiwa mbinu za kazi, ila kwa nchi kama Iran kutokana na kuandamwa na maadui wengi kutoka nchi za magharibi pamoja na baadhi ya nchi jirani za kiarabu, hawa jamaa wapo macho 24/7, hivyo sidhani kama itakuwa rahisi aidha wa Israel ama marekani kujaribu kufanya kitu cha namna hiyomkuu de'levis naomba msaada kwa haya:
(1) inawezekana kwa mfano mossad ama CIA wakawa na recruitment school ndani ya nchi adui kama Iran pasipo idara za usalama za Iran kujua?
umejitahidi kufafanua kadri ya uwezo wako lakini maelezo yamesimama na yanaeleweka vizuriMossad ama CIA wanaweza kuwa na mbinu nyingi sana za kuweza kufunza majasusi wao ndani ya nchi hasimu/adui kama kitengo cha counterintelligence cha nchi husika hakiko imara na spy catchers wamelala ama kuzidiwa mbinu za kazi, ila kwa nchi kama Iran kutokana na kuandamwa na maadui wengi kutoka nchi za magharibi pamoja na baadhi ya nchi jirani za kiarabu, hawa jamaa wapo macho 24/7, hivyo sidhani kama itakuwa rahisi aidha wa Israel ama marekani kujaribu kufanya kitu cha namna hiyo
nimejaribu kidogo
sidhani kama I.Q kubwa huletwa na mfumo bora wa elimu katika nchi husika, bali I.Q ya mtu ni kitu ambacho binadamu huzaliwa nacho (genetic makeup) plus mazingira anayokulia yakimzunguka huchochea ukuaji wa uwezo mkubwa wa kufikiri, pia mnaweza kunisahihishamkuu, sasa kwa tanzania hii hao wenye IQ kubwa tutawatoa wapi kwa mfumo wetu huu wa elimu???
kungekuwa hakuna intelligence apparatus hapa tanzania sidhana kama ungekuwa na muda ama utulivu wa kuweza kukaa na kuandika haya unayoandika hapa.Tanzania hakuna Intelligence agency. Hawa TIIS ni watu wafitina tu. Bora mara 100 Directorate of Military Intelligence (DMI) hawa wanafanyakazi haswa. Lakini TIS wamebaki watu wa kuweka fitina tu.
kaka, worry out ujumbe utamfikia soon.........Infantry mwambie asomme sheria inayowaweka ndio utajua