kabla hatujafika huko nataka nijue hapa tunapamalizajeSasa kama hivyo ndovyo, uliza swali ambalo majibu yake yanajibiwa ma Baiolojia.
Nasubiri swali hilo.
Hahaha kitabu hakijaacha kitu lakini ajabu iliyopo hata technology ya kutengeneza kijiko hawakuigundua wao 😂Kama we ni mtu wa dini na ulishajipambanua wazi kua wewe ni mtu wa dini gani.
Imekuaje tena utuulize swali kama hilo wakati kitabu cha dini yako kinadaiwa kua hakijaacha kitu?
Hayo yameonyesha ya kuwa watu hawazaliwi wakiwa mashoga ndiyo maana walipo leta usenge wakapewa adhabu kali mno.maoni haya ni irrelevant kwasababu hayajaeleza kuhusu watu kuzaliwa wakiwa mashoga
Rejea ulipo andika hapo awali.kabla hatujafika huko nataka nijue hapa tunapamalizaje
niweke wazi kwa kunionesha mahali ambako nimeandika hayo maneno kua "biolojia ina majibu yote"
Verse ipi hapo imeelezea kua watu hawazaliwi mashoga?Hayo yameonyesha ya kuwa watu hawazaliwi wakiwa mashoga ndiyo maana walipo leta usenge wakapewa adhabu kali mno.
Swali lako lingine linasemaje ?
Soma aya ya 166.Verse ipi hapo imeelezea kua watu hawazaliwi mashoga?
Ngoja nirejee kisha unioneshe hayo manenoRejea ulipo andika hapo awali.
Naona hoja imekushinda unaanza kukimbia kivuli chako. Mimi nipo utanikuta hapa hapa.
Hapa ulikua unamjibu mdau mmojaWenye akili timamu huwa hatuchezi kamari.
NikakuulizaTupe uthibitisho wa kibaiolojia unaothibitisha watu wasio timamu hucheza kamali
We ukaja na hii statementTangu lini Biology ikakupa majibu ya kila kitu ?
"166. Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!"Soma aya ya 166.
Safi kabisa, swali lako ulilifunga katika jambo moja la Baiolojia, hapa ulionyesha ya kuwa jibu la swalo lako lipo katika somo hilo ? Unakubali una kataa ?Ngoja nirejee kisha unioneshe hayo maneno
Hapa ulikua unamjibu mdau mmoja
Nikakuuliza
We ukaja na hii statement
Sasa nataka u-highlights hayo maneno au ikiwezekana weka screenshot kutoka kwenye post yangu ikionesha mimi nime demand kua "biology ina majibu ya kila kitu"
Safi kabisa maana ya aya na kiasili sisi tumeumbiwa wanawake yaani tuwaingilie wanawake na si kinyume chake, maana yake unapo acha asili ujue ya kuwa hukuzaliwa katika hali hiyo zaidi ya kuichagua. Ndiyo maana wakawepo Wanawake, na si mwanaume amuingilie mwanaume mwenzake au mwanamke asagane na mwanamke mwenzake."166. Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!"
Wapi hapo aya imeeleza kua watu hawazaliwi mashoga?
Haifai kuongelea mambo ya ugay kuna watu wanaweza kuchukulia ni jambo LA kawaida kupitia bandiko lako na hata maoni ya baadhi ya watu humuKatika pita pita yangu ,( sababu mimi ni miongoni mwa watu tunaopenda Dini ) nikawa napitia kisa cha nabii Luti/Lutwi ( Kwa watu wafuatiliaji wa Dini, hiki kisa ni maarufu sana ) na watu wa Sodoma na Gomora,nikawa natafakari sana juu ya utambuzi wa watu wale, nikawa najiuliza walipatwa na nini mpaka wakawa wanafanya mapenzi ya jinsia moja ?
Historia imeandikwa na kalamu zimenyanyuliwa na wino umekauka, Hamad ! Mambo haya ya mapenzi ya jinsia moja yanapigiwa upatu na baadhi ya watu na yakafanywa kama ni mambo ya kawaida na ni katika haki za faragha za watu, yaani hupaswi kuwaingilia wafanyapo mapenzi hayo. Lakini sisi tunajiuliza watu hawa wamepatwa na nini ? Akili zao huzifanyia kazi wapi ? Hata picha hawaoni ?
Je ni kweli mtu huzaliwa akiwa shoga au msagaji na msagwaji ?
Karibuni wadau, wakubwa na wavyele katika kunisaidia kunipa majibu ya swali hilo hapo juu.
Ni mimi kijana fakiri na muhitajia toka kwa Mola wangu mlezi, Mola muumba wa ardhi na vilivyomo Zurri Mubarridi.
Lazima tuyaongelee mambo haya sababu watu wanayaona ni ya kawaida hali ya kuwa ni jambo la ajabu na lina madhara makubwa sana katika vizazi vijavyo.Haifai kuongelea mambo ya ugay kuna watu wanaweza kuchukulia ni jambo LA kawaida kupitia bandiko lako na hata maoni ya baadhi ya watu humu
hujalielewa swaliSafi kabisa, swali lako ulilifunga katika jambo moja la Baiolojia, hapa ulionyesha ya kuwa jibu la swalo lako lipo katika somo hilo ? Unakubali una kataa ?
Mimi nikakuonyesha ya kwa maana ya siyaki ya swali lako ni kuwa umeegemeza majibu katika somo hilo. Nikakuuliza na kukujibu humo humo ya kuwa Baiolojia haina majibu ya kila swali hata kama hujasema wazi ila maana yako inaelekeza humo. Sasa ulitakiwa ukiri ya kuwa somo hilo halina jibu la swali ulilo uliza.
Ndiyo maana nikakwambia uulize kwa usahihi.
hayo ni maneno yako umeyatoa kichwani kwako na sio kwenye hiyo aya, hakuna mahali kwenye aya imesema kuhusu swala la watu kuzaliwa au kutokuzaliwa mashogaSafi kabisa maana ya aya na kiasili sisi tumeumbiwa wanawake yaani tuwaingilie wanawake na si kinyume chake, maana yake unapo acha asili ujue ya kuwa hukuzaliwa katika hali hiyo zaidi ya kuichagua. Ndiyo maana wakawepo Wanawake, na si mwanaume amuingilie mwanaume mwenzake au mwanamke asagane na mwanamke mwenzake.
Naona ulitaka uone kauli imesema ya kuwa "Mashoga hawazaliwi". Una ufahamu mdogo sana wa kung'amua mambo.