akili moja
Member
- Oct 11, 2017
- 9
- 0
Wana jf naomb kuulza kuna yoyote ambae amechaguliwa Ardhi university katika course ya architecture akiwa na division 111.kama yupo anambie na mimi niomb round ya mwsho
Ngumu sana kupata hiyo inahitaji watu wa ufaulu mkubwa wakat mwingine had Div II anaweza kukosa piakwahyo nkiomb hii ctapata
sawa kaka asanteNgumu sana kupata hiyo inahitaji watu wa ufaulu mkubwa wakat mwingine had Div II anaweza kukosa pia
sawa kaka asanteNgumu sana kupata hiyo inahitaji watu wa ufaulu mkubwa wakat mwingine had Div II anaweza kukosa pia
Kama nafasi zimejaa!. Asije kujutiaDiv three? Omba koz yoyote then ukifika utahamia hyo unayotaka