Kaputupu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,486
- 1,179
wataalam wa It..
nimekuwa nikiona thread nyingi za watu wakitaka kuroot simu zao...
lakini wakiwa hawa sababu maalumu inayomfanya a rooted simu yake..
au ni apps gani anazipata na ku enjoy baada ya simu kuwa rooted 100%..
Nime Root simu yangu samsung galaxy S4..
Nilichoona kimebadilika ni simu yangu imekuwa faster sana,,
Bt watalaamu mnaweza mkatusaidia na kwa faida ya wengine... baada ya ku root simu ni apps gani nzuri unazoweza kuziweka kwenye simu na kufurahia matumizi ya simu..
na faida ya hiyoo app..
ymollel
Chief-Mkwawa
nimekuwa nikiona thread nyingi za watu wakitaka kuroot simu zao...
lakini wakiwa hawa sababu maalumu inayomfanya a rooted simu yake..
au ni apps gani anazipata na ku enjoy baada ya simu kuwa rooted 100%..
Nime Root simu yangu samsung galaxy S4..
Nilichoona kimebadilika ni simu yangu imekuwa faster sana,,
Bt watalaamu mnaweza mkatusaidia na kwa faida ya wengine... baada ya ku root simu ni apps gani nzuri unazoweza kuziweka kwenye simu na kufurahia matumizi ya simu..
na faida ya hiyoo app..
ymollel
Chief-Mkwawa
Last edited by a moderator: