GadoTz
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 370
- 638
1. WhatsApp Messenger
Ni Application inayotumiwa zaidi kwa sasa na watu kutumiana meseji, picha na video.
2. Shazam Encore
Ni Application inayoweza kutambua wimbo usioufahamu, uliousahau mwimbaji au jina la wimbo husika. Unachofanya ni kuweka karibu na spika yako na baada ya sekunde chache shazam itakuambia jina, mwimbaji na alibum yake.
3. Duolingo
Ni Application inayowezesha kujifunza lugha mbalimbali duniani
4. MIX by Camera360
Ni Application ya ku-edit picha yako kuiongezea ung'aavu na mwonekano mzuri.
5. Calls Blacklist - Call Blocker
Ni application unayoweza kumfungia namba za simu za watu usiotaka wakupate hewani, unachagua namba na kuiweka kwenye list na hawatakupata na ukitaka mpaka meseji zao unazifungia.
6. BBC CBEEBIES PLAYTIME
[h=2]
[/h] Ni application kwa watoto wadogo inayoonyesha game za kuelimisha na kuburudisha, michezo na shughuli za watoto za kishule.
7. TuneIn Radio
Ni application inayokuwezesha kusikiliza radio mtandaoni zinazopatikana kwenye mfumo wa digitali, kupitia TuneIn unaweza kupata radio zaidi ya 50,000 duniani kote.
Huu ni mtazamo wangu wadau
Ni Application inayotumiwa zaidi kwa sasa na watu kutumiana meseji, picha na video.
2. Shazam Encore
Ni Application inayoweza kutambua wimbo usioufahamu, uliousahau mwimbaji au jina la wimbo husika. Unachofanya ni kuweka karibu na spika yako na baada ya sekunde chache shazam itakuambia jina, mwimbaji na alibum yake.
3. Duolingo
Ni Application inayowezesha kujifunza lugha mbalimbali duniani
4. MIX by Camera360
Ni Application ya ku-edit picha yako kuiongezea ung'aavu na mwonekano mzuri.
5. Calls Blacklist - Call Blocker
Ni application unayoweza kumfungia namba za simu za watu usiotaka wakupate hewani, unachagua namba na kuiweka kwenye list na hawatakupata na ukitaka mpaka meseji zao unazifungia.
6. BBC CBEEBIES PLAYTIME
[h=2]
7. TuneIn Radio
Ni application inayokuwezesha kusikiliza radio mtandaoni zinazopatikana kwenye mfumo wa digitali, kupitia TuneIn unaweza kupata radio zaidi ya 50,000 duniani kote.
Huu ni mtazamo wangu wadau