Application ya kutokupatikana hewani while simu iko on

Application ya kutokupatikana hewani while simu iko on

Mbushuu Ingia kwa play store, search master call blocker. Download then install.
 
Last edited by a moderator:
Habari za jioni na poleni kwa uchovu wa kutwa nzima waheshimiwa sana wa hili jukwaa.Naomba wa application au hata setting ya kufanya simu isipatikane hewani pindi ninapopigiwa while simu ikiwa on nikiendelea na shughuli zangu zingine like surfing.
Shukrani za dhati.

Mmmh ushampachika mtu mimba nini?
 
na nikitaka nikimpigia mtu ioneshe private number nafanyaje wadau
 
Habari za jioni na poleni kwa uchovu wa kutwa nzima waheshimiwa sana wa hili jukwaa.Naomba wa application au hata setting ya kufanya simu isipatikane hewani pindi ninapopigiwa while simu ikiwa on nikiendelea na shughuli zangu zingine like surfing.
Shukrani za dhati.
Fowadi simu zote kwenye namba feki kama 123456. Hizo code unaweza ukafunga halafu ukasahau jinsi ya kufungua🙂
 
kama unatumia IOS weka do not disturb mode

hapo utaona tu missed call ila anaekupigia simu itakua inajikata tu
 
na nikitaka nikimpigia mtu ioneshe private number nafanyaje wadau

Iyo iko disabled na network providers coz wengi walikuwa wanatumia kwa uharifu. Zamani ilikuwa unapga *33*namba then unacall
 
Mitandao yote ni hivyo hivyo.

Mimi cm yangu ni ya laini mbili VODA na tigo nikijaza hizo namba *35*0000#laini ambayo nakuwa sipatikani ni tigo tu voda inakuwa hewani kama kawaida sasa hapo nifanyaje wakuu?
 
Mimi cm yangu ni ya laini mbili VODA na tigo nikijaza hizo namba *35*0000#laini ambayo nakuwa sipatikani ni tigo tu voda inakuwa hewani kama kawaida sasa hapo nifanyaje wakuu?

Kwa Vodacom dial **21*0754125125# kwa kufunga incoming voice calls zote and you 'll be notified by sms (in real time) of all phone numbers that tried to call you ...,

Kwa kuifungua simu ili kuruhusu voice calls kuingia just dial ##002# ..

Hope you guys 'll find this piece of information useful .....

Thank you.
 
Back
Top Bottom