Lkn vile vile kwa sm za kichna kama tecno itel infinx hazna broadband zenye nguvu niamn mm ukiwa na sm kama htc.motorola.sony. asee hata mstun znapandsha 3G au 4G... Nlikuwaa na mchna nikiwa wilaya flan hukoo mda wote n emergency calls only ..nikaagza motorola droid turbo kutoka DRC aseee hz sm n atar