email huwa zinajibiwa, hata me nshaapply mara kibao, na baadhi nilishapiga interview zake na baadhi sijaitwa. So ipo siku itajibu.."katika utafutaji ni Marufuku kukata tamaa.!.vp kuhusu experience miaka 4,mara7 au3 vp post za hvo me huwa natuma tu au nakoxea?