sinyoritah
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 552
- 346
ni miezi5 sasa toka nianze apply kazi through email sijawah itwa interview hata moja sielewi kam email zinafika au application kupitia mitandao hiyo si ya kweli mean huwa hawaifatilii nixaidieni jaman manake rytnw nastresika tu
email huwa zinajibiwa, hata me nshaapply mara kibao, na baadhi nilishapiga interview zake na baadhi sijaitwa. So ipo siku itajibu.."katika utafutaji ni Marufuku kukata tamaa.!.vp kuhusu experience miaka 4,mara7 au3 vp post za hvo me huwa natuma tu au nakoxea?
ni miezi5 sasa toka nianze apply kazi through email sijawah itwa interview hata moja sielewi kam email zinafika au application kupitia mitandao hiyo si ya kweli mean huwa hawaifatilii nixaidieni jaman manake rytnw nastresika tu
ujuzi xina ni graduates haya na huko ku pm ndo nafanyaje cjuini pm,ntakupeleka mahali utapata kazi,japo kua hujasema ujuzi wako
Ni-PM tuongee kiundugu zaidi
ni miezi5 sasa toka nianze apply kazi through email sijawah itwa interview hata moja sielewi kam email zinafika au application kupitia mitandao hiyo si ya kweli mean huwa hawaifatilii nixaidieni jaman manake rytnw nastresika tu
ni miezi5 sasa toka nianze apply kazi through email sijawah itwa interview hata moja sielewi kam email zinafika au application kupitia mitandao hiyo si ya kweli mean huwa hawaifatilii nixaidieni jaman manake rytnw nastresika tu