PSB
Hii ni kwa ajili ya privacy. Weka namba unazotaka kuchat privately.... Ukitumiwa msg zitakuwa zinakuja huku Za hizo namba binafsi.... Pia calls ukipigiwa itablock zitakuwa msg...
pia unaweza hide icon isiwe inaonejana.
But shart uiweke iwe ndo default. Hapo msg zingine zitakuwa zinakuja kawaida. Ipo pstore