Soma CPA huwezi kujiajili Bila CPA utakamatwa kwa Sheria za Nchi.Akhsante! Naona hali tete.. Napenda field yangu huwez jiajiri bila experience .. Kama itakuwa ngumu nitasonga mbele na mambo mengine
We Mbona Libishi Board wanatoaga Miaka 3 ya kutafuta Experience Mara baada ya Kufaulu CPA baada ya Miaka 3 ndo Unapewa MuhuriCPA bila practice ni kazi nzuri ambayo haina maana... ndio maana naomba sehemu ya ptactice hata bila malipo...
Amekuambia anataka kujiajiri kwenye Field ipi mpaka unamwambia ni lazima awe na CPA??Soma CPA huwezi kujiajili Bila CPA utakamatwa kwa Sheria za Nchi.
Kutokana na Maneno yake "" Naipenda Field yangu"" maana yake Bachelor ya Acc&Finance anatafuta Experience katika Auditing Firm. Ni wazi Dogo anataka Kujiajiri Katika Masuala ya Uhasibu, Kodi, UkaguziAmekuambia anataka kujiajiri kwenye Field ipi mpaka unamwambia ni lazima awe na CPA??
Unaongea kitu usichokijua.....japo inaonekana umekaaa na mtu anayejua mambo ya cpaWe Mbona Libishi Board wanatoaga Miaka 3 ya kutafuta Experience Mara baada ya Kufaulu CPA baada ya Miaka 3 ndo Unapewa Muhuri
Dc .com
Certified Public Accountant
Anaweza kua kamaanisha kwenye field yake anayoipenda akishindwa basi akajiajiri hata kwenye Kilimo, Ufugaji huko au maswala mengineKutokana na Maneno yake "" Naipenda Field yangu"" maana yake Bachelor ya Acc&Finance anatafuta Experience katika Auditing Firm. Ni wazi Dogo anataka Kujiajiri Katika Masuala ya Uhasibu, Kodi, Ukaguzi
Hivyo Hii Ni continuing education anatakiwa akapige Kitabu. Mda wa kutafuta Experience Upo
We Fala Sasa nimesoma BAF Nina CPA nina Postgraduate ya Tax Siyo Kilaza Mwenzio Namshauri Kitu Ninachokijua Mimi Mwenyewe Sijapata Muhuri natumia ya Wadau waliotanguliaUnaongea kitu usichokijua.....japo inaonekana umekaaa na mtu anayejua mambo ya cpa
Hajasema Hivyo Fuatilia Post Zake Kwenye Hii Thread Usikurupuke Dada!Anaweza kua kamaanisha kwenye field yake anayoipenda akishindwa basi akajiajiri hata kwenye Kilimo, Ufugaji huko au maswala mengine
Una shida sana we Mama,Hajasema Hivyo Fuatilia Post Zake Kwenye Hii Thread Usikurupuke Dada!
daah JF huwezi kosa suluhisho mwisho wa sikuUjitoleee nini wewe hapo morogoro hamna mashamba?
Umesoma baf na cpa unayo.....hahahaaa hakika cpa wameanza kutoa bure cku hizi...wew maelezo yako tuuu yanaonyesha hujasoma hata degree ya kiswahil huna....We Fala Sasa nimesoma BAF Nina CPA nina Postgraduate ya Tax Siyo Kilaza Mwenzio Namshauri Kitu Ninachokijua Mimi Mwenyewe Sijapata Muhuri natumia ya Wadau waliotangulia
Uhasibu ni Tofauti na Degree zenu za Historia na Kiswahili Huku Kuna Certification