The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,114
- 115,942
Unamaanisha mauzo ama utajiri? Kama ni utajiri umeingia chaka sana,
Hata hao kina Apple na Samsung hawapo hata top 10 kwenye kampuni zinazoingiza hela nyingi, kifupi hakuna kampuni ya simu hata moja.
Kampuni kumi zinazoingiza hela nyingi yupo Walmart na Kampuni nyengine 9 za kutengeza magari ama kuuza mafuta.
Juzijuzi niliona Elon Musk anataka Amazon ivunjwe...
Amazon ikoje now Kwa value?