Badala ya kununua Galaxy S4 NA Galaxy Note 10.1 au iPhone 5s na iPad, wanunuaji wanaweza kununua PadFone yenye vyote hivyo. Bei za PadFone nchini
Marekani hazijatangazwa bado.
zina mwaka na nusu sasa hazijafanya lolote, ili uuze sana mpaka uwe na brainwash factor
Linapokuja suala la mobiles na gadgets kwa kweli nakukubali sana chief-mkwawa
zina mwaka na nusu sasa hazijafanya lolote, ili uuze sana mpaka uwe na brainwash factor
Kit Vivo Xplay 3S ndio habari ya mini
Specifications
1.RAM 3GB
2.internal memory 32
3.camera 13 pixels back and 5 frontThe Vivo Xplay 3S is powered by a Snapdragon 800 chipset - quad-core Krait 400 CPU at 2.3GHz, Adreno 330 GPU and 3GB of RAM. On the connectivity side there's both TD-LTE and FDD-LTE.
The camera is a 13MP shooter with a fast f/1.8 aperture. Next to it is a fingerprint scanner and there's a 5MP camera on the front. Vivo has created a custom camera app called Photo+, which shares your videos to the cloud and features augmented reality.
duuu huo msimu kama laptop..
Kwa pixel density ndogo namna hiyo (<300 ppi)...hazina ishu. Jicho la binadamu linaweza ona/tofautisha mwisho pixel 300 per inch, hizo zna ppi ndogo, which means screen resolution ni ndogo pia kulinganisha na counterparts wake...mfano htc one na Galaxy s4
duuu huo msimu kama laptop..
Kit Vivo Xplay 3S ndio habari ya mini
Specifications
1.RAM 3GB
2.internal memory 32
3.camera 13 pixels back and 5 frontThe Vivo Xplay 3S is powered by a Snapdragon 800 chipset - quad-core Krait 400 CPU at 2.3GHz, Adreno 330 GPU and 3GB of RAM. On the connectivity side there's both TD-LTE and FDD-LTE.
The camera is a 13MP shooter with a fast f/1.8 aperture. Next to it is a fingerprint scanner and there's a 5MP camera on the front. Vivo has created a custom camera app called Photo+, which shares your videos to the cloud and features augmented reality.
Haya masimu makubwa nayachukia sana, yaani mpaka uwe na mfuko rambo kwa ajili ya kubebea, mda si mrefu tutakuwa tunawaagiza mafundi nguo ku-design mifuko mikubwa kwa ajiliyakubebea hii midubwana
wanayo padfone infinity ina 441 ppi (1080 kwa 5inch)
hio ni mini kwa watu wa kipato cha chini
OFF TOPIC:
WHY THIS????
Likes Received: 1626
Likes Given: 0
Weka pucha
99% ya post zangu zote zinatokea operamini sioni likes ninazopewa wala sioni pa kutoa likes.
99% ya post zangu zote zinatokea operamini sioni likes ninazopewa wala sioni pa kutoa likes.
So chief wewe 24/7 wapiga post zako via mobile phone?? it seems una moja wapo ya android device kwa mujibu wa hisia zangu. why not using using jf app for android??
ila above all chief huwa nakukubali sana na pia ushauri wako umekuwa ukinifaa every now and then