Apple Os vs Adroid Os. Ipi ina apps kali

Apple Os vs Adroid Os. Ipi ina apps kali

chrisnyoni

Member
Joined
Jan 11, 2012
Posts
21
Reaction score
1
Nimetumia Os nyingi sana mazee toka kipindi cha java nkaja symbian, adroid, apple, bb os, but now nimerud tena kwe adroid. Kuna apps kama SPC hii app nikali kwa vicheche haipatikan kwe iphone yeyote
 
unaongelea SPC ambayo unatengenezea beats kwa simu?? sijaona kikubwa kwa hiyo app, then again ave never been a fan of mixing beats and whatnot
ukirudi kwenye swali lako la nani an apps kali zaidi, jibu ni kwamba hamna, because all the apps and games zinatengenezwa ni the same peeps, utofauti unatoka kwa model ya simu na uwezo wake. hivi basi, huwezi compare fifa kwa iphone 3 na galaxy sIII au asphalt kwa galaxy pocket na ipad3.
 
Nimetumia Os nyingi sana mazee toka kipindi cha java nkaja symbian, adroid, apple, bb os, but now nimerud tena kwe adroid. Kuna apps kama SPC hii app nikali kwa vicheche haipatikan kwe iphone yeyote

Correction please: ni iOS sio Apple OS,
 
aaaarrrrggghhhhh grrrrrrrrrrrrrrr
Why kwenye mabishano yenu hamuinclude nokia?
 
aaaarrrrggghhhhh grrrrrrrrrrrrrrr
Why kwenye mabishano yenu hamuinclude nokia?

hehe chief mimi nimpenzi wa nokia saaana lkn huwa naona os za symbian zimepitwa na wakati kwa muonekano na utumiaji nimehama adroid kwa miezi ya kwanza nilifurahishwa after ka muda kidogo naona 2.3 na 4.0 hazina tofauti kubwa isipokuwa imefanywa isiwe ina lag zaidi.juzi juzi nimetumia lumia sema kweli nimeipenda kwasbb ugandaji wa adroid haupo kabisa pale yaani hakuna mambo ya kuganda wala kuload,ukibonyeza option unayotaka inakupa pale pale.itabidi nirudi nokia hadi itapo shuka windows 8
 
hehe chief mimi nimpenzi wa nokia saaana lkn huwa naona os za symbian zimepitwa na wakati kwa muonekano na utumiaji nimehama adroid kwa miezi ya kwanza nilifurahishwa after ka muda kidogo naona 2.3 na 4.0 hazina tofauti kubwa isipokuwa imefanywa isiwe ina lag zaidi.juzi juzi nimetumia lumia sema kweli nimeipenda kwasbb ugandaji wa adroid haupo kabisa pale yaani hakuna mambo ya kuganda wala kuload,ukibonyeza option unayotaka inakupa pale pale.itabidi nirudi nokia hadi itapo shuka windows 8

hua mi sijuti kuzaliwa tz ila nilifeel bad lumia 900 iliposhushwa bei mpaka dola 49 kwa mwez kwa miez 6 that was a golden chance na mimi kua na wp ila ndo hivo
 
hua mi sijuti kuzaliwa tz ila nilifeel bad lumia 900 iliposhushwa bei mpaka dola 49 kwa mwez kwa miez 6 that was a golden chance na mimi kua na wp ila ndo hivo

voda wangetoa simu nzuri nzuri unalipa kwa kila mwenzi amount flani hadi unamaliza,itawafanya watu wengi kununua smartphones za ghali kwa bei nafuu ambayo haimuumizi mtu wa kawaida.
 
542012_10150950480563360_1348147233_n.jpg

Android rules
 
Kuna suala la biashara kwe his OS mazee thts y bbm huez pata kwe sim ingine zaid ya BB. Hii SPC(super private conversation) nimetafuta kwe BB, iphone na symbian kote sijaipata na nimeamua kulud kwe adroid if ua using adroid na dem wako anamchezo wa kupekua pekua cm yako plz download spc(super private convesation) hapo utakua umemaliza ugomv wote coz hataona sms ya za wale wasumbufu wako na hata kama itaingia wakat kashika sim na hata akipiga hatajua. Plz download mwenyewe mi sitak kuielezea sana. Bt kama na yeye mjanja itakula kwako.
 
Back
Top Bottom