Na ndio maana mwaka huu sijaona muendelezo wa iPhone SE 2020 yenye 4.7inch display na button au labda kama wana-skip kwa interval ya muda fulani ndo watoe toleo jipya. Hizi iPhone zenye button bado zinapendwa mno kwa vile jinsi ziko so unique na zinavutia, nafikiri wasizi-phase out kwani ni low budget na zilo portable sana!