App hii bestmart tanzania ni app ya kweli

App hii bestmart tanzania ni app ya kweli

ugido

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2014
Posts
421
Reaction score
104
Habari wana jf naomba msaada nimekutana na hii app ya ku hack simu wakanipa maelekezo hadimwisho nikakuta kuna kuingiza code na hiyo code unailipia sh 46,000 wanasema unaweza kuhack namba ya simu na mwenye simu asijue, nikweli nataka kuhack namba kwasababu ninamume mchungaji mzinzi mno kila nikimwambia anakataa anatishia kunipiga kila siku na ameshanitamkia kua iko siku ataniua kwajili ya kumfatilia nimeenda mahakamani kudai talaka wamesema sina kidhibiti cha kumshika kuwa yeye ni malaya , anaendaga kuwaombea wanawake wajane ambao wanaukimwi kwasababu anawashauri pia watumie dawa waki improve anawala sasa atakuja kuniletea ukimwi niko kwenye magumu sana nisaidieni kwa anaejua app ya kuhack si kwania mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachotaka kukifanya ni kosa kisheria, kuwa makini na maamuz yako
 
Habari wana jf naomba msaada nimekutana na hii app ya ku hack simu wakanipa maelekezo hadimwisho nikakuta kuna kuingiza code na hiyo code unailipia sh 46,000 wanasema unaweza kuhack namba ya simu na mwenye simu asijue, nikweli nataka kuhack namba kwasababu ninamume mchungaji mzinzi mno kila nikimwambia anakataa anatishia kunipiga kila siku na ameshanitamkia kua iko siku ataniua kwajili ya kumfatilia nimeenda mahakamani kudai talaka wamesema sina kidhibiti cha kumshika kuwa yeye ni malaya , anaendaga kuwaombea wanawake wajane ambao wanaukimwi kwasababu anawashauri pia watumie dawa waki improve anawala sasa atakuja kuniletea ukimwi niko kwenye magumu sana nisaidieni kwa anaejua app ya kuhack si kwania mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usihangaike na dunia mkuu


Unajitafutia stress tu

13SEPTEMBER
 
Hivi haiwezzekani ukamwacha ukasepa zako tu.
 
Habari wana jf naomba msaada nimekutana na hii app ya ku hack simu wakanipa maelekezo hadimwisho nikakuta kuna kuingiza code na hiyo code unailipia sh 46,000 wanasema unaweza kuhack namba ya simu na mwenye simu asijue, nikweli nataka kuhack namba kwasababu ninamume mchungaji mzinzi mno kila nikimwambia anakataa anatishia kunipiga kila siku na ameshanitamkia kua iko siku ataniua kwajili ya kumfatilia nimeenda mahakamani kudai talaka wamesema sina kidhibiti cha kumshika kuwa yeye ni malaya , anaendaga kuwaombea wanawake wajane ambao wanaukimwi kwasababu anawashauri pia watumie dawa waki improve anawala sasa atakuja kuniletea ukimwi niko kwenye magumu sana nisaidieni kwa anaejua app ya kuhack si kwania mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
pole Sana mama mchungaji kwel mmeo anasadiki kuvunja sheria ya mungu ya kumi ..
 
Kuna app ambayo unaweza hack SMS, GPS location na Call history for free. But kuhack WhatsApp, Facebook na call recording yake itakuhitaji around 44$ kama malipo Kwa developer.
Habari wana jf naomba msaada nimekutana na hii app ya ku hack simu wakanipa maelekezo hadimwisho nikakuta kuna kuingiza code na hiyo code unailipia sh 46,000 wanasema unaweza kuhack namba ya simu na mwenye simu asijue, nikweli nataka kuhack namba kwasababu ninamume mchungaji mzinzi mno kila nikimwambia anakataa anatishia kunipiga kila siku na ameshanitamkia kua iko siku ataniua kwajili ya kumfatilia nimeenda mahakamani kudai talaka wamesema sina kidhibiti cha kumshika kuwa yeye ni malaya , anaendaga kuwaombea wanawake wajane ambao wanaukimwi kwasababu anawashauri pia watumie dawa waki improve anawala sasa atakuja kuniletea ukimwi niko kwenye magumu sana nisaidieni kwa anaejua app ya kuhack si kwania mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maelezo don't hesitate to seek help, PM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jf naomba msaada nimekutana na hii app ya ku hack simu wakanipa maelekezo hadimwisho nikakuta kuna kuingiza code na hiyo code unailipia sh 46,000 wanasema unaweza kuhack namba ya simu na mwenye simu asijue, nikweli nataka kuhack namba kwasababu ninamume mchungaji mzinzi mno kila nikimwambia anakataa anatishia kunipiga kila siku na ameshanitamkia kua iko siku ataniua kwajili ya kumfatilia nimeenda mahakamani kudai talaka wamesema sina kidhibiti cha kumshika kuwa yeye ni malaya , anaendaga kuwaombea wanawake wajane ambao wanaukimwi kwasababu anawashauri pia watumie dawa waki improve anawala sasa atakuja kuniletea ukimwi niko kwenye magumu sana nisaidieni kwa anaejua app ya kuhack si kwania mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa'aa sasa ndio unatafuta kufa naturally dadaangu. Mnawatoto kama ndio nini mstabali wao. Kaeni mjadili Hatma yao kwanza .

Wewe ushalala
 
Ingia instagram mtafute jamaa anaitwa hancy_wancy_henry yupo vizuri


Sent from my iPhone 5s using JamiiForums mobile App
 
Back
Top Bottom