App developers Njooni mfanye kazi na mimi

blogspot

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
1,269
Reaction score
1,147
Habari wakuu poleni na majukumu ya kila leo.

App developers mimi sijui coding ila sio kwamba ni mweupe kabisa😃. No kidogo some basics zipo.

Nipo hapa kutafuta developer tutakayeweza kupiga nae kazi pamoja.

Kivipi?
Developer utatengeneza App kwa niche ambayo nitakuwa nayo.
Then:
-Contents nitatengeneza
-Nita publish app kwenye console acc yangu.
-Promotion nitafanya(Makubaliano)
--Advertisements compaign kwenye platform tofautitofauti nitaendesha.


Note: Ads units Tutashare na hapa kila mtu atakua na zake kuepuka usumbufu.

Nawakaribisha wataalamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…