Habari wakuu poleni na majukumu ya kila leo.
App developers mimi sijui coding ila sio kwamba ni mweupe kabisa😃. No kidogo some basics zipo.
Nipo hapa kutafuta developer tutakayeweza kupiga nae kazi pamoja.
Kivipi?
Developer utatengeneza App kwa niche ambayo nitakuwa nayo.
Then:
-Contents nitatengeneza
-Nita publish app kwenye console acc yangu.
-Promotion nitafanya(Makubaliano)
--Advertisements compaign kwenye platform tofautitofauti nitaendesha.
Note: Ads units Tutashare na hapa kila mtu atakua na zake kuepuka usumbufu.
Nawakaribisha wataalamu.