duh tuelewesheni vizur wengne ata hizo API hatuzijui
Mmeshasikia kitu kama pesapi.com au ipayafrica.com. Jaribuni kuangalia may be inaweza ikawa ni solution kwenu
Works for M-Pesa private accounts....commercial ones?
Hata mi nimeona the same thing, labda sababu jamaa hawana internal access wameona wasijisumbue na commercial wasije letewa kesi bure sababu wanaweza toa kitu very unstable... ila all in all angalau wamejaribu, private accounts hazina msaada kabisa, mtu mwenye akili zake anafanya business hawezi tumia private account
Rahisi kutengeneza API ya MPESA, sema hawa jamaa wapo very closed hawataki mtu aguse system yao.... Mi mwenyewe nina shida nayo sana sema the only solution inayobaki ni kuunganisha modem na kuandika a simple script iwe inaforward received texts kutoka kwenye specific namba yao then inaforward kwenda kwenye server..
Hii ni manual work na modem lazima iwe hewani masaa yote, japo security yake pia si mbaya...
Rahisi kutengeneza API ya MPESA, sema hawa jamaa wapo very closed hawataki mtu aguse system yao.... Mi mwenyewe nina shida nayo sana sema the only solution inayobaki ni kuunganisha modem na kuandika a simple script iwe inaforward received texts kutoka kwenye specific namba yao then inaforward kwenda kwenye server..
Hii ni manual work na modem lazima iwe hewani masaa yote, japo security yake pia si mbaya...
Habari,
Kwa yeyote anayefahamu Official API ya m-pesa (vodacom Tanzania) inatoka lini, naomba anitaarifu.
PS: nafahamu kuhusu API ya safaricom so don't recommend that.