apa kuna mapenzi kwel?

apa kuna mapenzi kwel?

okey sasa huyo kama ni mtu wa mishe ni kawaida.... na wewe unampigia mara ngapi kwa wiki? kama yupo bussy inabidi wewe ndo uwe unapiga simu..... kama ungesema huwa apokei simu au anakukataza kupiga hapo kweli ningeona amna mapenzi...

raha ya kupiga nawe upigiwe sio kila mara wewe tu khaa......kama yupo busy basi hata usiku kabla ya kulala apigi
 
raha ya kupiga nawe upigiwe sio kila mara wewe tu khaa......kama yupo busy basi hata usiku kabla ya kulala apigi

Najaribu kumtia moyo ila kama ajasoma mchezo itakula kwake..... jamaa kasha pata mzigo mpya..
 
jaman wanajanvi naomba kujuzwa hapa kidogo.ninampenz wang nampend cn lakn cha kushangaza ananipigiaga cm mara moja kwa wiki
Na wewe huwa una mpgia mara ngapi? kwa sababu hilo ni jukumu lenu wote, jenga mazingira mkuu.
nmeanza kumzoea na 2naelekea kumalza mwaka sasa
Basi kama umesha zoea hakuna haja ya kutia shaka sababu haikupishida.
 
jaman wanajanvi naomba kujuzwa hapa kidogo.ninampenz wang nampend cn lakn cha kushangaza ananipigiaga cm mara moja kwa wiki nkimuulza mbona unansahau kias hicho anadai kua anakua bize cn, kiac kwamb nmeanza kumzoea na 2naelekea kumalza mwaka sasa,

Maisha ni ngumu na wew kuwa ngumu nayo

Maisha ni bize na wew kuwa bize nayo
 
hapo hamna kitu atakua na mwingine anawasiliana nae ...nikwambia hata mpnz awe busy kiasi gani mda wa kulala lazima akukumbuke kama anakupenda...kwani kuongea na simu inachukua mda gani..hata hivo hio ni dalili ya penz linalotaka kufa.
 
Kubana matumizi ...labda ni economist bhana sio kila masaa simu tu nakuishia kusalimiana.
 
Back
Top Bottom