AP: Tanzania’s COVID-denying leader urges prayer as cases climb

Mimi nasema hazijafanyiwa tafiti za kisayansi ila kuhusu kutibu watu wanatumia tangu na tangu na wanapona.
Wanavyotumia hizo dawa za asili na kupona unajuaje kuwa ni hizo dawa zimewaponyesha na wala siyo sababu nyingine?Yaani kwa mfano mtu anapotumia ile dawa ya NIMR kujitibia Corona na akapona,utajuaje kuwa ni hiyo dawa imemtibu na wala siyo sababu nyingine kama vile mazoezi anayofanya,labda ni kinga yake ya mwili ambayo tayari ilikuwa imeshapanga kumponya,e.t.c?
 
hivi kupiga nyungu, kutengeneza traditional medics sio jitihada? tatizo la watanzania na waafrica kwa ujumla tupo bound sana na conventional alternatives...
At the same time huzuii mikusanyiko holela!Yaani ligi kuu watu wanajazana uwanjani kama mishikaki na serikali inaona!Tatizo tuko against mbinu za Mabeberu ambazo ni za kisayansi!Kwanini asitumie jitihada hizo hizo anazotumia kwenye kupiga nyungu kuwahimiza watu kuvaa barakoa,kunawa mikono na kuepuka misongamano?Acheni hizo bhana
 
Suala la maombi na ualisia wa kisayansi unatuchanganya, Mungu ametupa uwezo wa kukabiliana na mazingira yetu, sijui nini kinatufanya kumlilia akiwa ametupa maarifa!
Mungu hajawahi kutupa uwezo wa kuepuka kufa. Tutaendelea kufa. Hata hii corona sayansi yetu hadi sasa haina uwezo wa kuizuia kuua. Bado iko kwenye hatua ya majaribio tu. Mataifa makubwa na tajiri kama USA bado maelfu kwa maelfu ya wananchi wake wanakufa kila siku kwa corona despite chanjo, lockdown na kadhalika.

Lakini kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu nchi changa na masikini kama za kwetu hapa Afrika wananchi wake wanaokufa kwa corona ni wachache sana. Kwa mfano nchini Kenya tangu ugonjwa huu uanze mwaka jana mwezi Januari hadi leo mwezi Februari, idadi ya vifo hivi ni 1,800 tu; idadi ambayo ni nusu ya wanaokufa kwa siku moja tu huko Amerika. Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini? Sababu yake ni moja tu kwamba Kenya na nchi zingine za Afrika zinatembea na Mungu. Hizo nchi zinazo practice usodoma na ugomola corona itaendelea kuwasurubisha hadi pale watakaporejea na kutembea na Mungu.
 
Nimezungumzia kile nachokiona na sio vile inavyotakiwa iwe,hivyo sipo kwenye kujadili serikali inakosea au inapatia.


Ninapouliza serikali ni nini??, nilitaka uwe specific kwani unaposema Serikali hapo umejumuisha Serikaki nzima ilhali jambo hilo ni fikra ya mtu mmoja tu ndani ya serikali wala baraza la mawaziri halikukaa kuweka msimamo wowote.
 
Kitu ambacho hakijafanyiwa hata majaribio ili kuonyesha mafanikio yake katika kutibu ugonjwa fulani,kitu hicho ni sawa na mawe tu!Kula dawa ya namna hiyo ni sawa na kula mawe kwa sababu huna uhakika kama utapona au la!


Mimi nimefanya tafiti yangu binafsi na nimegundua nyungu si chochote, kinachofanyika kwenye nyungu ni exactly the process of evaporation in the same way of making table salt. Ili kupata chumvi kutoka katika maji yenye solution ya chumvi ni lazima uyachemshe au uyaweke wazi juani ili evaporation itokee maji yaondoke kama mvuke na chumvi ibaki, katika maji ya nyungu ambapo kuna mchanganyiko wa Vitunguu saumu, Tangawizi, pilipili kichaa vilivyosagwa na kuchemshwa ni mvuke usiokuwa na chochote ndio unaovutwa huku materials zote zenye kutibu (active ingredients) zikibaki ndani ya chombo cha mfukizo, angalau dawa kama Vicks (camphor) na mafuta ya karafuu ndiyo yanaweza kuchanganyika na mvuke na kuwa dawa mjarabu ya kujifukiza lakini kwa mchanganyiko huo mwingine ni bure.
 
Mimi nimefanya tafiti yangu binafsi na nimegundua nyungu si chochote, kinachofanyika kwenye nyungu ni exactly the process of evaporation in the same way of making table salt. Ili kupata chumvi kutoka katika maji yenye solution ya chumvi ni lazima uyachemshe au uyaweke wazi juani ili evaporation itokee maji yaondoke kama mvuke na chumvi ibaki, katika maji ya nyungu ambapo kuna mchanganyiko wa Vitunguu saumu, Tangawizi, pilipili kichaa vilivyosagwa na kuchemshwa ni mvuke usiokuwa na chochote ndio unaovutwa huku materials zote zenye kutibu (active ingredients) zikibaki ndani ya chombo cha mfukizo, angalau dawa kama Vicks (camphor) na mafuta ya karafuu ndiyo yanaweza kuchanganyika na mvuke na kuwa dawa mjarabu ya kujifukiza lakini kwa mchanganyiko huo mwingine ni bure.
Imagine Magufuli ambae ndiye mshika bango wa haya mambo ya nyungu ana PhD ya Chemistry!
 
NAIROBI, Kenya (AP) — Tanzania’s COVID-denying president is calling on citizens for three days of prayer to defeat unnamed “respiratory diseases” amid warnings that the country is seeing a deadly resurgence in infections.

“Maybe we have wronged God somewhere,” populist President John Magufuli told mourners at a funeral for his chief secretary, John Kijazi, on Friday. “Let us all repent.”

Magufuli has repeatedly claimed that Tanzania, a country of some 60 million people, defeated COVID-19 with God’s help. The government has not updated its number of coronavirus cases since April, and the health ministry has promoted unproven herbal remedies. Magufuli has questioned COVID-19 vaccines without offering evidence.

But the local Catholic church, the U.S. Embassy and others have openly warned of a resurgence in cases. And this week the death of the vice president of the semi-autonomous island region of Zanzibar, Seif Sharif Hamad, brought widespread attention after his opposition political party said he had COVID-19.

Hamad’s death is “a clear symbol this pandemic is raging,“ the director of the Africa Centers for Disease Control and Prevention, John Nkengasong, told reporters on Thursday.

Speaking about the deaths of Hamad and Kijazi, Tanzania’s president asked the country to remain calm.

“We managed to defeat these respiratory diseases through prayer last year. I am sure we will do so this year,” he said in the nationally televised event.

Magufuli also announced that Finance Minister Philip Mpango had been admitted to a hospital in the capital, Dodoma. He did not say why.

Source: Tanzania's COVID-denying leader urges prayer as cases climb
Leo hamna TANZIA.. Tangu lini Manyang'au yakawa marafiki zetu? Sina uhakika kwanini watu wengi hapa jf wamekosa UTU?

Associated Press - Kenya ni wanafiki as it has been..
 
Ninapouliza serikali ni nini??, nilitaka uwe specific kwani unaposema Serikali hapo umejumuisha Serikaki nzima ilhali jambo hilo ni fikra ya mtu mmoja tu ndani ya serikali wala baraza la mawaziri halikukaa kuweka msimamo wowote.
Muhimu ni kwamba utekelezaji unafanyika kama serikali na si kama mawazo ya mtu wala wawili.
 
Wanavyotumia hizo dawa za asili na kupona unajuaje kuwa ni hizo dawa zimewaponyesha na wala siyo sababu nyingine?Yaani kwa mfano mtu anapotumia ile dawa ya NIMR kujitibia Corona na akapona,utajuaje kuwa ni hiyo dawa imemtibu na wala siyo sababu nyingine kama vile mazoezi anayofanya,labda ni kinga yake ya mwili ambayo tayari ilikuwa imeshapanga kumponya,e.t.c?
Kwani hizo dawa za kizungu unajuaje kwamba zimekuponesha na sio kwamba umepona kwa sababu zengine?
 
Kwani hizo dawa za kizungu unajuaje kwamba zimekuponesha na sio kwamba umepona kwa sababu zengine?
Kwa sababu zimefanyiwa majaribio na zikaonyesha mafanikio, kwa hiyo unakuwa na uhakika wa mgonjwa kupona pindi atumiapo dawa hizo.
 
Kwa sababu zimefanyiwa majaribio na zikaonyesha mafanikio, kwa hiyo unakuwa na uhakika wa mgonjwa kupona pindi atumiapo dawa hizo.
Ndio sawa na hizo dawa za asili ambazo zimekuwa zikitumika kutibu maradhi tangu na tangu na mtu akitumia anapona ugonjwa maradhi.
 
Ni amri ya mtu mmoja ndiyo imefuatwa, baraza la mawaziri halijakaa.
Ndio huwezi kutenganisha huyo mtu mmoja na serikali kwa sababu utekelezaji unatekelezwa kama serikali na si kama mawazo binafsi ya mtu mmoja.
 
Ndio huwezi kutenganisha huyo mtu mmoja na serikali kwa sababu utekelezaji unatekelezwa kama serikali na si kama mawazo binafsi ya mtu mmoja.


Usilaumu serikali laumu mtu, yaani usilaumu gari laumu dereva.
 
Suala la maombi na ualisia wa kisayansi unatuchanganya, Mungu ametupa uwezo wa kukabiliana na mazingira yetu, sijui nini kinatufanya kumlilia akiwa ametupa maarifa!
Hayo maarifa unayodai yatumike hayajawasaidia mabeberu katika kupambana na corona!!! Wana maambukizi mapya navigo lukuki kila siku!!!
 
Back
Top Bottom